Nanyaro: James Ole Milya sahau kabisa uongozi ndani ya Chadema

Habari hii ilinishtua kidogo lakini nilipoona mwanzisha thread ni Ritz nikajua Nepi at work. Hivi hiyo ndo maana ya kuwa mwenezi wa chama???:A S kiss:
 
Naona Milya kawekewa vikwazo kaambiwa asahau kabisa kupata uongozi ndani ya Chadema...wewe uoni kama uhuru wake wa kidemokrasia umebakwa?

Inakuwa Nguvu mimi kuhamini kuhusu hayo maneno mpaka pale itakapothibitishwa coz sijaiona hiyo habari kwenye gazeti au source tajwa.
Swali langu kuhusu Shitambala ujajibu Ritz
 
I was on ma way to comment the same thing...... nimekosa batan ya like mkuu u deserve it!

Mkuu KOMBAJR habari hiyo ipo kwenye gazeti la Mwananchi Ukurasa wa 3 kwenye kigazeti cha ndani MWANANCHI 2 SIASA. Habari imeandikwa na Joyce Mmasi.
 
Last edited by a moderator:
Mpendazoe na Shibuda wamepewa vyeo gani ndani ya Chadema??

Hakuna sehemu niliyokuambia kuwa Mpendazoe na Shibuda wamepewa vyeo nimesema wamepewa nafasi...nafasi walizopewa ni kugombea ubunge.
 
Habari imeandikwa kama makala na zaidi wameambiwa wana ccm wanaotokwa na udenda ,kama wanataka kujiunga na jeshi la ukombozi shariti wakiri wameliibia taifa kiasi gani na warudishe ndipo wapokelewe.
 
Ritz magambaaa!,kujibeba kunakuhusu kjana.Kajinyonge kwa kutumia fulana ya ccm na ufukiwe kwa jembe la ccm.Huna hata haya na mwaka huu mnazid kupukutika na mtaji wenu haupo!Kamwambie na kipenga na rejao kuwa hamna chenu hata mkilia hatuwasamehi yaone vichwa kama stafeli
 
Wakuu
ukisoma habari nzima utaelewa nini ninachomaanisha,kimsingi ni swala lipo wazi kuwa CHADEMA hatugawi vyeo,na lazima tuchunguze na kujiridhisha kuwa yeyote aingiaye ana nia na dhamira ya kukomboa nchi na si kwa ajili ya madaraka.Milango ya kuingia CHADEMA ipo wazi,lakini lazima tuchunguze
 
Mwongo huyu Ritz,gazeti nimelisomna karibu lote,aweke linki au ataje heading ya hiyo habari

Mkuu ebu angalia vizuri inawezakana umechanganya magazeti umechukuwa gazeti la Kiu ukadhani Mwananchi.
 
Wakuu
ukisoma habari nzima utaelewa nini ninachomaanisha,kimsingi ni swala lipo wazi kuwa CHADEMA hatugawi vyeo,na lazima tuchunguze na kujiridhisha kuwa yeyote aingiaye ana nia na dhamira ya kukomboa nchi na si kwa ajili ya madaraka.Milango ya kuingia CHADEMA ipo wazi,lakini lazima tuchunguze

Jibu zuri, hakuna maneno ya kumumunya wala maneno ya mchakato. Msg sent kamanda.
 
Mbona hawa wote walikuwa CCM wote walipewa nafasi Fred Mpendazoe, John Shibuda, hata waasisi wa Chadema wote wametoka CCM Edwin Mtei, Bob Makani.


umesahau kuna wengine pia walikuwa CCM wakaenda upinzani halafu wakarudi tena CCM, Nape Nnauye, Samweli Sita, Mwakyembe n.k( CCM-CCJ-CCM),au unajipoteza kumbukumbu?
Halafu nasikia ktk baraza la mawaziri jipya JK anataka akuteue kuwa mbunge halafu akupe wizara ya Nishati na Madini ili muendelee ku-shine ktk biashara yenu ya kiwese, eti kweli??
 
Hoja yangu ni rahisi sana,kuwa tunawapokea wote,tunawafundisha,Falsafa,Itikadi na sera za chama,pamoja na miongozo mbalimbali,
Lazima wawe wapambanaji wa kweli,wenye moyo hodari,kama chama kinachojiandaa kuchukua dola hatuwezi kugawa vyeo kama pipi,ni lazima taratibu zifuatwe,hiyo ndio hoja yangu,na kamwe si kumnyima yeyote fursa ya uongozi kwenye chama,
Huyu Ritz kachakachua hadi mahojiano ili yalete maana anayotaka yeye,na si niliyokusudia.وNgoja nitafute hiyo link ili mpate habari kamili
 
Naamini Millya hakufuata cheo Chadema. Wanaokimbilia ccm ndio ukimbilia vyeo.
Sisi chadema wote tunatumikia chama hata kama si viongozi. Kwa mfano mimi ingawa sio kiongozi lakini ninaongoza wanachama wenzangu katika eneo langu kutumikia masuala ya chama tena kwa uaminifu. Nyie ccm mpaka upewe cheo ndio utumikie chama? pole sana njaa ndio inawasumbua ritz.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu
ukisoma habari nzima utaelewa nini ninachomaanisha,kimsingi ni swala lipo wazi kuwa CHADEMA hatugawi vyeo,na lazima tuchunguze na kujiridhisha kuwa yeyote aingiaye ana nia na dhamira ya kukomboa nchi na si kwa ajili ya madaraka.Milango ya kuingia CHADEMA ipo wazi,lakini lazima tuchunguze

Sawa kamanda hakuna vyeo chadema, kuna kazi za kufanya kwa ajili ya kuleta ukombozi!
 
Nadhani suala la vyeo mahali popote lina taratibu zake, kwa hiyo tuachane na mambo ambayo kwa sasa hayana mashiko, tu concentrate kwa mambo ya maana. Nanyaro kasema hayo ni sawa, hajasema pia sawa, ana uhuru wa kuongea as long as halipii vat midomo yake...Millya aachwe aconcentrate kujijenga kichama, Chama kikiona anafaa kuwa kiongozi watampa mtu with time. Kuna mambo mengi zaidi ya ku concentrate kwayo kuliko kumuongelea Millya kwa sasa.
 
]Ritz, we bado unalia na CHADEMA tu.
Huna habari nyingine za kupost?

acha mambo yako kwani hii si habari????????
au toa wewe habari za kupost JF coz wengine hatuna za kupost.
 
Kwahiyo ni kama Fabregas atoke Asenali aende Barca aambiwe atakaa benchi tu lol
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom