Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,923
- 32,336
Wanabodi JF.
Ephata Nanyaro Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha) Mkoa, na Mwenyekiti wa chama hicho Arusha Mjini.
Anasema namfahamu Milya, ni kijana mwenzangu lakini kwa muda wote tulikuwa na tofauti za kiitikadi, kifalsafa na kimtazamo.
Kutokana na yeye kuamua kuachana na CCM na kuamua kujiunga na Chadema, kuhusu kupata nafasi ya uongozi Chadema asahau kabisa sisi hatugawi vyeo kama pipi.
Aliendelea kusema mtu yoyote asijiunge na chama chetu akitarajia atapata uongozi wa ngazi yoyote.
SOURCE: MWANANCHI MAY 2 2012.
Ephata Nanyaro Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha) Mkoa, na Mwenyekiti wa chama hicho Arusha Mjini.
Anasema namfahamu Milya, ni kijana mwenzangu lakini kwa muda wote tulikuwa na tofauti za kiitikadi, kifalsafa na kimtazamo.
Kutokana na yeye kuamua kuachana na CCM na kuamua kujiunga na Chadema, kuhusu kupata nafasi ya uongozi Chadema asahau kabisa sisi hatugawi vyeo kama pipi.
Aliendelea kusema mtu yoyote asijiunge na chama chetu akitarajia atapata uongozi wa ngazi yoyote.
SOURCE: MWANANCHI MAY 2 2012.