ndugu zangu wameninyima nafasi ya ukarani hapa dodoma mjini, katika pitapita zangu nikaambiwa "waliopita walikuwa na marefa hususani wanachuo walio mtaani bila ajira" mlioko jikoni naomba refa nipo tayari kwa 10% niPM plse maisha magumu sina kazi.
nina vigezo vyote isitoshe nimehudhuria mafunzo ya NBS kuhusu population, sensa , demography pia softwares kama STRATA, SPSS, LIMDEMP. Yalifanyika chuoni nina chet niko fiti siweyiharibu kazi MGALULA.
njaa mbaya.... Siamin km kuna kujuana sababu nimepata na simjui mtu yoyote na kat ya 400 tuliomba 2mebak 150 so naamin hak imetendeka km ujapata amin si risiki.
njaa mbaya.... Siamin km kuna kujuana sababu nimepata na simjui mtu yoyote na kat ya 400 tuliomba 2mebak 150 so naamin hak imetendeka km ujapata amin si risiki.
Tageti nadhani ilikua ni Walimu make jamaa zangu wengi tumebwagwa hata sijui vigezo gan wao walitumia kuchagua majina yale,ila tusilaumu sana siku zote kisicho liziki hakiliki!
kweli kisicho liziki hakiliki kwa sababu mimi jina langu lilichaguliwa kwa ajili ya interview, lakini hawamu hii ya mwisho halijaonekana. Namuachia mungu yote@Bukijo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.