Habari madaktari wa JF!
Mimi ni mwanamume mwenye mke na watoto, ila kuna tatizo linanisumbua kwa muda mrefu sasa. Ni kwamba tangu nikiwa mdogo nilikuja kugundua kuwa uume wangu una tabia nisiyoielewa. Ikiwa haijasimama inakuwa ndogo sana na kukiwa na baridi ndo kanakuwa kadogo kabisa. wakati inapokuwa imesisimka inaongezeka si urefu tu bali hata unene unakuwa wa kutosha wa kumfanya mwanamke ajisikie vizuri. Hali ya uume kuwa mdogo ilikuwa inanifanya nijisikie aibu mbele ya wenzangu kiasi cha kuogopa kuogelea nao pamoja ama mara nyingne kuogelea na chupi na kuivaa ikiwa mbichi. Hali hiyo ilinitesa sana kiasi cha kuogopa kuoa kwani nilidhani mke hatanifurahia.
Baada ya kuoa mbunduje yangu ilifanya kazi vizuri sana na nilikuwa sichoki kabisa (naweza kwenda round ndefu tatu kwa mfululizo), sometimes nilikuwa naweza kutumia dk 45 kwa round moja kama tumekubaliana nisimalize mpema.
Sasa kinachonipa shida ni kwamba siku hizi nahisi ile mbunduje imebadilika tabia kwani nikipiga bao moja huwa nachoka sana na kujisikia kulala, hapo sirudii mchezo mpaka siku nyingine hata km mwenzangu anataka. Na mara nyingi bao lenyewe linachomoka mapema nisiyotaka( hata dk ya kwanza). Cha kushangaza zaidi ni kwamba misuli ya mbunduje yangu huwa inauma inapokuwa imesimama kwa muda mrefu.
Nimekuja kwenu ili nipate ushauri ni nini cha kufanya ili nipate raha ya tendo la ndoa na pia maumivu yapungue kwenye mbunduje yangu.
Naomba ushauri.
Mimi ni mwanamume mwenye mke na watoto, ila kuna tatizo linanisumbua kwa muda mrefu sasa. Ni kwamba tangu nikiwa mdogo nilikuja kugundua kuwa uume wangu una tabia nisiyoielewa. Ikiwa haijasimama inakuwa ndogo sana na kukiwa na baridi ndo kanakuwa kadogo kabisa. wakati inapokuwa imesisimka inaongezeka si urefu tu bali hata unene unakuwa wa kutosha wa kumfanya mwanamke ajisikie vizuri. Hali ya uume kuwa mdogo ilikuwa inanifanya nijisikie aibu mbele ya wenzangu kiasi cha kuogopa kuogelea nao pamoja ama mara nyingne kuogelea na chupi na kuivaa ikiwa mbichi. Hali hiyo ilinitesa sana kiasi cha kuogopa kuoa kwani nilidhani mke hatanifurahia.
Baada ya kuoa mbunduje yangu ilifanya kazi vizuri sana na nilikuwa sichoki kabisa (naweza kwenda round ndefu tatu kwa mfululizo), sometimes nilikuwa naweza kutumia dk 45 kwa round moja kama tumekubaliana nisimalize mpema.
Sasa kinachonipa shida ni kwamba siku hizi nahisi ile mbunduje imebadilika tabia kwani nikipiga bao moja huwa nachoka sana na kujisikia kulala, hapo sirudii mchezo mpaka siku nyingine hata km mwenzangu anataka. Na mara nyingi bao lenyewe linachomoka mapema nisiyotaka( hata dk ya kwanza). Cha kushangaza zaidi ni kwamba misuli ya mbunduje yangu huwa inauma inapokuwa imesimama kwa muda mrefu.
Nimekuja kwenu ili nipate ushauri ni nini cha kufanya ili nipate raha ya tendo la ndoa na pia maumivu yapungue kwenye mbunduje yangu.
Naomba ushauri.