KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,596
Mwananchi wewe unajisikiaje pale nchi yako inakosa eneo maalumu kwa ajili ya Viongozi!!
Kwa sababu ya ufisadi na tamaa zao kuuza nyumba za serikali ambazo baba zetu waliziheshimu kwa miongo kadhaa leo hii zinaizwa kwa mkopo wa shilingi milioni 6-30!??Je kweli viongozi wetu wanenda kukaa kijitonyama nihaki wakati Oysterbay ilikuwepo leo limegeuzwa capital state!!!??Hapana tunataka zirudi serikalini Nikibahatika serikali yangu ikachukua madaraka tutaandamana hadi kwa rais wangu kumwomba zirudishwe serikalini!
Wewe mwana jamii unalionaje hili??
Kwa sababu ya ufisadi na tamaa zao kuuza nyumba za serikali ambazo baba zetu waliziheshimu kwa miongo kadhaa leo hii zinaizwa kwa mkopo wa shilingi milioni 6-30!??Je kweli viongozi wetu wanenda kukaa kijitonyama nihaki wakati Oysterbay ilikuwepo leo limegeuzwa capital state!!!??Hapana tunataka zirudi serikalini Nikibahatika serikali yangu ikachukua madaraka tutaandamana hadi kwa rais wangu kumwomba zirudishwe serikalini!
Wewe mwana jamii unalionaje hili??