Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
jamani eeh!
Tunasoma sana siasa,tunaudhiwa sana na mambo yanayofanywa na viongozi wetu,tunachangia kwa jazba kuu.sehemu kubwa ya michango yetu inasaidia kufungua akili za watu.na kuna wakati michango yetu huwa KELELE ZA CHURA,turelax kidogo wapendwa!
Muziki wa injili unakomaa siku hadi siku,na vipaji vipya vinaibuka kila inapoitwa siku.
Naomba tuwajadili wakongwe hawa wawili ambao wamefungua milango kwa waimbaji wengi wa muziki wa injili
PAMOJA NA LADHA YA MIZIKI YAO KUTOFAUTIANA,lakini kuna mtu kati ya hawa IS THE BEST?
..................TUJADILI
Tunasoma sana siasa,tunaudhiwa sana na mambo yanayofanywa na viongozi wetu,tunachangia kwa jazba kuu.sehemu kubwa ya michango yetu inasaidia kufungua akili za watu.na kuna wakati michango yetu huwa KELELE ZA CHURA,turelax kidogo wapendwa!
Muziki wa injili unakomaa siku hadi siku,na vipaji vipya vinaibuka kila inapoitwa siku.
Naomba tuwajadili wakongwe hawa wawili ambao wamefungua milango kwa waimbaji wengi wa muziki wa injili
PAMOJA NA LADHA YA MIZIKI YAO KUTOFAUTIANA,lakini kuna mtu kati ya hawa IS THE BEST?
..................TUJADILI