Nani Zaidi: Mwanakijiji Vs John Mashaka

Status
Not open for further replies.
- Okay, so far naona wengi tunakubaliana kwamba Mwanakijiji ndiye bingwa kuliko John Mashaka, meaning kwamba Mwanakijiji ndiye undisputed king wa siasa za online na kwamba from now on anayo our mandate yetu, yaani wananchi wote wa Online Political Activism na kwamba kwenye ishu nyingi muhimu za taifa, kama hakuna hoja nzito ya kumpinga automatically anakuwa anatuongelea wote kutoka Online Politics, ninasema kwenye kila mkusanyiko lazima kuwe na kiongozi,

- Kuna ishu moja ambayo sikuona inachangiwa ya kutosha, je ni ipi blog zaidi ya nyingine kati ya Michuzi na JF Kumkoma Nyani? Ninasema tuntaka undisputed leader katika hizi shuguli sio kulalalama tu bila uongozi.

- Halafu wewe mkuu huko juu, hivi kwa nini usichukue time-off na hizi internent ukapumzika japo siku mbili, mkuu this thing is wearing you down, I mean ni ushauri wa bure tu this 24/7 Online Syndrome is taking you down bro!

Respect.

FMEs!

Kwa nini unalazimisha vitu juu juu! Kwani wewe ni msemaji mkuu wa hapa?
 
Naomba kuuliza tu.

Who is the hell this John Mashaka? Mbona sijaona article zake popote?
Mwanakijiji nilianza kusoma articles zake kabla hata sijaja Jf. Ni mwandishi mzuri, makala zake zimejaa hoja na mvuto. na utataka kusoma zingine ukiona ni ya mwana kijiji. Ni mwenye chuki dhidi ya serikali dhalimu na iliyojaa wizi isiyojali wananchi wake. Ni rafiki wa watu wema. Hata wale wanaosema yeye hakutumia jina lake hawajui tu. Mimi nimezungumza naye kwa simu mara nyingi, ni mtu mpole and very kind indeed.

Michuzi blog nimeipitia mara chache sana ili kuona kulikoni baada ya kuona watu wakii refer kwenye michango yao humu jf, lakini sikuvutiwa na bla bla nilizoziona kule. Au labda watu walivutiwa na wingi wa picha na celebrity?

Kwa upande wa jf iko juu wakuu. Siwezi kulala bila kupitia njia hii. Hakuna ambaye amepita hapa akaacha kurudi. Iko juu.
 
Mkuu FMES, kwanza natanguliza samahani kwa mtazamo wangu juu ya "the motive behind hii thread". Lengo lako sio kulinganisha bali ni uchokozi wa kutaka kumdhalilisha Mashaka na kuidhalilisha Globu ya Jamii kwa kuilinganisha na JF.

Huwezi kushindanisha the obvious, huku unaelewa fika nani ni zaidi ili yule aliyechini akanywage na kupondwa pondwa. This is unfair.

JF ni forum, ina heshima yake, ina nguvu yake, ina wafuasi wake na ina impact yake, siyo vema na sio haki kuilinganisha na globu ya jamii.

Globu hiyo ya jamii, nayo ina heshima yake, ina nguvu yake, ina maeneo yake ya kujidai, ina wafuasi wake na pia ina impact yake. Zote zina fanya kazi zake vizuri kufuatana na malengo yake, hivyo sio haki kuzipambanisha.

Hii ya kumlinganisha Mzee MKJJ na Joni, hii ni "simple mind-discuss people", pia motive ni kumdhalilisha Joni kumlinganisha na Mzee. Hujamtendea haki huyu kijana mdogo kumshindanisha na baba yake.

Ukiamua kumlinganisha JK na Mwalimu JK utakuwa ni sawa na kumdhalilisha JK mbele ya Mwalimu, vivyo hivyo kumshindanisha Mwalimu na kina Socrates na Plato utakuwa humtendeai haki.

Mashindano ya kweli ni pale variable zinapofanana ama kukaribiana huku kukiwa na level playing ground ndio maana hata haya mashindano kwenye politics zetu, kila siku mshindi atakuwa yule yule aliyeshika mpini.

Hongera Michuzi na kazi nzuri ya globu yako na Mashaka wako.Endelea kutuhabarisha habari za people and events.

Hongera JF kwa kuendeleza discusion of great minds akiwemo Mzee MKJJ.

Mzee FMES kuliletwa swali hili humu JF kumepelekea majibu tofauti kama ambavyo ungeliuliza kwenye globu ya jamii. Its not fair!.
 
Paso acha uoga simamia unachokiamini!
Heshima mbele Amani GK. Issue sio uoga wa kusimamia ninachoamini, issue ni kuwatendea haki hata wale usiokubaliana nao. Ndio maana nilitanguliza samahani kuhusiana na the motive behind hii thread.

Sio haki kumshindanisha bingwa na kinda, au kuishindanisha vichwa vya JK na blog za wauza sura.
JF inajulikana na Mzee Mwanakijiji anajulikana, kumlinganisha na jamaa wa level ya chini ni kutaka tuu kumgalagaza huyo jamaa ndio maana nikasema, its not fair.

Kuna watu globu ya jamii ndio kwao na jamaa ndio hero wao, hauwatendei haki kuwalinganisha na vichwa kutakakopelekea kuonekana wao si lolote si chochote mbele ya wengine.

Kama ni mashindano, uwepo ushindani wa kweli kwa vigezo vya kufanana kushindanika na uwanja sawa wa mapambano, JF na Globu wapi na wapi, au MMKJJ na Joni wapi na wapi?, si kutaka kudhalilishana huku!.
 
Mkuu FMES, kwanza natanguliza samahani kwa mtazamo wangu juu ya "the motive behind hii thread". Lengo lako sio kulinganisha bali ni uchokozi wa kutaka kumdhalilisha Mashaka na kuidhalilisha Globu ya Jamii kwa kuilinganisha na JF.

Huwezi kushindanisha the obvious, huku unaelewa fika nani ni zaidi ili yule aliyechini akanywage na kupondwa pondwa. This is unfair.

JF ni forum, ina heshima yake, ina nguvu yake, ina wafuasi wake na ina impact yake, siyo vema na sio haki kuilinganisha na globu ya jamii.

Globu hiyo ya jamii, nayo ina heshima yake, ina nguvu yake, ina maeneo yake ya kujidai, ina wafuasi wake na pia ina impact yake. Zote zina fanya kazi zake vizuri kufuatana na malengo yake, hivyo sio haki kuzipambanisha.

Hii ya kumlinganisha Mzee MKJJ na Joni, hii ni "simple mind-discuss people", pia motive ni kumdhalilisha Joni kumlinganisha na Mzee. Hujamtendea haki huyu kijana mdogo kumshindanisha na baba yake.

Ukiamua kumlinganisha JK na Mwalimu JK utakuwa ni sawa na kumdhalilisha JK mbele ya Mwalimu, vivyo hivyo kumshindanisha Mwalimu na kina Socrates na Plato utakuwa humtendeai haki.

Mashindano ya kweli ni pale variable zinapofanana ama kukaribiana huku kukiwa na level playing ground ndio maana hata haya mashindano kwenye politics zetu, kila siku mshindi atakuwa yule yule aliyeshika mpini.

Hongera Michuzi na kazi nzuri ya globu yako na Mashaka wako.Endelea kutuhabarisha habari za people and events.

Hongera JF kwa kuendeleza discusion of great minds akiwemo Mzee MKJJ.

Mzee FMES kuliletwa swali hili humu JF kumepelekea majibu tofauti kama ambavyo ungeliuliza kwenye globu ya jamii. Its not fair!.

- Mkulu Pasco, angalau wewe hapa na hii post hu-discuss people, ila I am wondering una-discuss nani? Au nini I am lost! I mean total lost,

- You can't have it both way, na unatafuta nini kwenye thread ya simple mind ya ku-discuss people, huku wewe una big mind?

FMEs!
 
ES;

The fact kuwa Michuzi ameanza kuiita BLOG yake BLOG YA JAMII. Wakati anajua wazi kuwa kuna jamiiforums ambayo imesajiliwa kihalali INAONYESHA WAZI KUWA JAMIIFORUMS IPO JUU.

Na anachofanya kwa kuiita blog ya jamii ni kuwachanganya watu wasiojua tofauti ya JF na Michuzibblogspot.

Kwa ufupi utakuta Nadir haroub yule beki wa Taifa stars anajiita Nadir Cannavaro. Lakini Mwenyewe Cannavaro wa ukweli hawezi kujiita NADIR.

JF ipo juu sana

- Sawa sawa, nimekusikia mkuu!

Respect.

FMEs!
 
- Mkulu Pasco, angalau wewe hapa na hii post hu-discuss people, ila I am wondering una-discuss nani? Au nini I am lost! I mean total lost,

- You can't have it both way, na unatafuta nini kwenye thread ya simple mind ya ku-discuss people, huku wewe una big mind?

FMEs!
Heshima mbele, lengo I just wish you be fair, what was your motive behind hii thread yako, lengo iangu sio kudiscuss people but to put records straight, its not fair kwa globu na Joni wake. just that.
FMES naomba nipinge kwa hoja, hayo ya big mind yanatoka wapi?.
 
Huyu jamaa aliyetoa hii thread mbona huwa haongei pumba leo inakuwaje?

Nguo nyeupe ikiwa na doa moja dogo jeusi inaitwa chafu. Hivyo basi kama huyu jamaa kaongea pumba katika hili, ujue kuwa ni muongea pumba ila wakati muafaka wa kuonyesha pumba zake ulikuwa haujafika. Inawezekana kabisa kuwa Field Marshal ni pumba guy na hivyo hafai kuwa kamanda.
 
Ndugu Wadau, Nadhani muda unavyokwenda, nchi yetu inazidi kudidimia katika wimbi la ufukara. Nchi imekwisha na hali inazidi kutisha, hasa tukizingatia hali ya kisiasa na ya kiuchumi.
 
Ndugu Wadau, Nadhani muda unavyokwenda, nchi yetu inazidi kudidimia katika wimbi la ufukara. Nchi imekwisha na hali inazidi kutisha, hasa tukizingatia hali ya kisiasa na ya kiuchumi.

Itakuwa vyema sana, hasa baada ya ndugu yetu, kinara mkuu wa JF Mwanakijiji kujitambulisha, itakuwa vyema ajumuike na wenzie Shayo na Mashaka , na wengineo ili kuiokoa Tanzania. Waheshimiwa, inabidi tulijadili ili swala kwa busara siyo kujadili watu kama ilivyo kawaida yetu.

Je Vijana hawa waingie kwenye Kinyang'anyiro cha 2010 au Wasubiri hadi 2015 mafisadi wazidi kuimaliza nchi kwanza?
Mwanakijiji tunakuomba ujitambulishe rasmi ili pamoja na HS pamoja na JM tuwape kura kuiongoza Tanzania, Tumechoka na Ufisadi na pia tumechoshwa na mafisadi. Hawa ndio dawa, na watakuwa mwiba kwa mafisadi tukiwapa mikono na mibaraka kuingoza taifa. Hatuna namna

mkuu kweli we Fisadi, sasa ndio naamini,
 
Ndugu Wadau, Nadhani muda unavyokwenda, nchi yetu inazidi kudidimia katika wimbi la ufukara. Nchi imekwisha na hali inazidi kutisha, hasa tukizingatia hali ya kisiasa na ya kiuchumi.

Itakuwa vyema sana, hasa baada ya ndugu yetu, kinara mkuu wa JF Mwanakijiji kujitambulisha, itakuwa vyema ajumuike na wenzie Shayo na Mashaka , na wengineo ili kuiokoa Tanzania. Waheshimiwa, inabidi tulijadili ili swala kwa busara siyo kujadili watu kama ilivyo kawaida yetu.

Je Vijana hawa waingie kwenye Kinyang'anyiro cha 2010 au Wasubiri hadi 2015 mafisadi wazidi kuimaliza nchi kwanza?
Mwanakijiji tunakuomba ujitambulishe rasmi ili pamoja na HS pamoja na JM tuwape kura kuiongoza Tanzania, Tumechoka na Ufisadi na pia tumechoshwa na mafisadi. Hawa ndio dawa, na watakuwa mwiba kwa mafisadi tukiwapa mikono na mibaraka kuingoza taifa. Hatuna namna

Haya ndo matunda ya 'JF: Where We Dare To Talk Openly'
 
Nchi sio uwezo wa kuandika viji articles tuuu, Kuna mambo mengi katka uongozi, so sidhani kama wanasifa hao watu wako wote..mpaka tungejua angalau historia yao ya uongozi na maendeleo yao na si kujiandikia vijiarticle wapewe nchi
 
Nchi sio uwezo wa kuandika viji articles tuuu, Kuna mambo mengi katka uongozi, so sidhani kama wanasifa hao watu wako wote..mpaka tungejua angalau historia yao ya uongozi na maendeleo yao na si kujiandikia vijiarticle wapewe nchi

Semenya

Naona umejiandikia tuu angalau na wewe uonekane, hebu uongozi ni nini? si vema kumuhukumu mtu kwa hisia zako.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom