Kwani kwenye match ya Chelsea vs Man utd ya 4 - 0 nani alifunga goli na kutoa asist ya goli. Nadhani ndio zaidi!Paul Pogba tokea aje Man U kafunga magoli mangapi na kutoa assist ngapi?
Na Ngolo Kante tokea aje chelsea kafunga magoli mangapi na kutoa assist ngapi?
Ukipata jibu hapo juu basi ujue huyo ndo anayemzidi mwenzake
izoo apoo