Mbwana anaonekana kua hazina kwny timu yetu ya taifa. Ila hasije kuvimba bichwa kwa kulewa sifa za magazetini! Inabidi afanye mazoezi mara 2 zaidi ya mazoezi ya mwalimu. Na azingatie nidhamu. Haachane na kuku wa kienyeji na mitungi. La sivyo nae ataishia,kusahauliwa na kua ka Lunyamila.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.