Fukara
JF-Expert Member
- Dec 28, 2013
- 1,625
- 927
Wadau hawa warembo wetu wa Bongo Movie, Irene Uwoya na Jaqueline, nani mrembo zaidi ya mwenzake? Ki mvuto, thamani katika jamii. Tunguke hapa nani anamzidi mwenzake katika nyanja tofauti?
My take; Irene Uwoya ni mrembo zaidi kimuonekano lakini Wolper she's more expensive than Uwoya. Wewe unaonaje mdau?
My take; Irene Uwoya ni mrembo zaidi kimuonekano lakini Wolper she's more expensive than Uwoya. Wewe unaonaje mdau?