Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakulaumiwa ni wale wote wasiojiheshimu na kutambua thamani yao katika jamii.
Anaweza kuwa mwanamke au mwanaume.
Mwacheni shetani hausiki hapo.
hahah lol
hapo umeongea dear..
mbona umesahau Pombe dear ??lol
ha ha ha! Kwenye mwanaume sawa sawa na pombe. Mmmh!
Wakinicharukia nakutaja.
Kwa niaba ya The Finest nasi washika pembe Uporoto na Klorokwini na wameza mate(madomo zege) wote naomba ukalale sasa kabla hujapata wrinkles za uso na kupoteza mvuto.hahahaha lol
usijali
tukiwa pamoja hawaingii lol
wanatuheshimu sana hawa watu.
lakini nii wabishi tu..lol:smile-big:
Kwa niaba ya The Finest nasi washika pembe Uporoto na Klorokwini na wameza mate(madomo zege) wote naomba ukalale sasa kabla hujapata wrinkles za uso na kupoteza mvuto.
Haya basi siku njema mi naenda kulala bye.hahahaha lol
mie ntalalaje na wakati ni 11.55am..??
hahahahha lol
mmmhhh huo mvuto ulisha potea tangu kipendi kileeeee....
hahah lol
Haya basi siku njema mi naenda kulala bye.
Tuhongisye be! ngoja nifikirie kutoa jibu :smile-big: