Nani wa kulaumiwa, Mchuzi,TBC,ITV,Star TV

bulunga

JF-Expert Member
Oct 24, 2010
303
49
Jana ilikuwa ni siku ya majonzi makubwa kwa wana Shinyanga na wana CDM kwa ujamla,kwa kuondokewa na KAMANDA Shelembi ukweli usiopingika itabaki kuwa ni historia ambayo itakuwa ni vigumu kusahaulika, kwa Njinsi Shelembi alivyoagwa na kuzikwa na umati mkubwa ambao haujawahi kutokea katika mji wa Shinyanga, cha ajabu ni kuwa hakuna coverage ya media iliyostahili kwa tukio kama hilo, nimefuatilia kwa umakini kwa siku za karibuni nimegundua kuwa CDM haipewi tena coverage kwa matukio na shughuli zao isipokuwa kama kuna habari ambayo ni negative, inaelekea huu ni mkono mrefu :tape:kutaka kuwapunguzia popularity CDM ulioanzia TBC na kuenea kwenye Mitandao mingine ya Habari,

jana katika media zote haikuripotiwa isipokua nimeambiwa Chanel 10 pekee ndio iliweka hilo tukio katika taarfa ya habari licha ya kuwa na utitiri wa wandishi wa habari, inasikitisha sana hata hao CDM hawana kitengo cha Habari kwa sasa, nimeangalia hata Mtanzania Daima nako ni nusunusu hakuna picha zenye kubeba historia hii kwa uzito wake,

Kuna wakati tuliweza hata kupata video clips za matukio yao, mbali mbali angalau kupitia JF lakini sasa imekuwa ni kimya, kuna msemo unanao sema seeing is believing,

Inasikitisha hata hapa JF hakuna picha hata moja ya mazishi ya Kamanda Shelembi, kuna watu wamelaumu sa vyombo vya habari kuwa mazishi haya hayakuripotiwa, nimeangalia Michuzii mambo ni yaleyale anatanganza kifo cha mtanzania aliye Uingereza ambaye hata jina lake limefutwa, kwa kwa hili simlaumu Michuzi, lawama ziende kwao hao CDM na unongozi mzima, kuna watu ambao leo wanaongelea CDM TV naona hii ni ndoto kama madogo yameshindikana itawezekana makubwa, naomba CDM wajipange kwa hili, maana kilio hiki hakijaanza leo

RIP Shelembi
 
Lakini jamani mimi nakumbuka hii ilirushwa ITV taarifa ya saa 5.
 
bulunga nakuunga mkono,hata ule mkutano wa dr slaa pale dodoma hakukuwa na coverage kwenye media hasa katika picha,na humu JF hazikuwemo,hata za sherembi czioni,nasubiri nikienda shinyanga ntazipata still picture labda zitanifariji,
 
CDM mnatakiwa kuongeza nguvu kitengo cha Propaganda, ikibidi nendeni Lumumba mkamchukue Tambwe Hiza atawafaa kwa kuwaunganisha na vyombo vya habari
 
Jana ilikuwa ni siku ya majonzi makubwa kwa wana Shinyanga na wana CDM kwa ujamla,kwa kuondokewa na KAMANDA Shelembi ukweli usiopingika itabaki kuwa ni historia ambayo itakuwa ni vigumu kusahaulika, kwa Njinsi Shelembi alivyoagwa na kuzikwa na umati mkubwa ambao haujawahi kutokea katika mji wa Shinyanga, cha ajabu ni kuwa hakuna coverage ya media iliyostahili kwa tukio kama hilo, nimefuatilia kwa umakini kwa siku za karibuni nimegundua kuwa CDM haipewi tena coverage kwa matukio na shughuli zao isipokuwa kama kuna habari ambayo ni negative, inaelekea huu ni mkono mrefu :tape:kutaka kuwapunguzia popularity CDM ulioanzia TBC na kuenea kwenye Mitandao mingine ya Habari,

jana katika media zote haikuripotiwa isipokua nimeambiwa Chanel 10 pekee ndio iliweka hilo tukio katika taarfa ya habari licha ya kuwa na utitiri wa wandishi wa habari, inasikitisha sana hata hao CDM hawana kitengo cha Habari kwa sasa, nimeangalia hata Mtanzania Daima nako ni nusunusu hakuna picha zenye kubeba historia hii kwa uzito wake,

Kuna wakati tuliweza hata kupata video clips za matukio yao, mbali mbali angalau kupitia JF lakini sasa imekuwa ni kimya, kuna msemo unanao sema seeing is believing,

Inasikitisha hata hapa JF hakuna picha hata moja ya mazishi ya Kamanda Shelembi, kuna watu wamelaumu sa vyombo vya habari kuwa mazishi haya hayakuripotiwa, nimeangalia Michuzii mambo ni yaleyale anatanganza kifo cha mtanzania aliye Uingereza ambaye hata jina lake limefutwa, kwa kwa hili simlaumu Michuzi, lawama ziende kwao hao CDM na unongozi mzima, kuna watu ambao leo wanaongelea CDM TV naona hii ni ndoto kama madogo yameshindikana itawezekana makubwa, naomba CDM wajipange kwa hili, maana kilio hiki hakijaanza leo

RIP Shelembi
Kuna umbali mkubwa kutoka Shy hadi Dar kwa ajili ya kuleta habari bila shaka magazeti ya kesho yatakuwa na habari na picha nyingi za tukio hilo
 
Clip ya mazishi ya Marehemu Shelembi, kwa hisani ya TANGIBOVU WA YOUTUBE. Inatakiwa wana-CHADEMA tuwe pro-active na siyo re-active ktk masuala ya kuhakikisha habari za CHADEMA zinakuwa ktk JamiiFORUMS kwa kutumia key-boards, camera, simu n.k. maana JF ni zaidi ya vyombo vya habari vya serikali na CCM.

 
Last edited by a moderator:
Jana ilikuwa ni siku ya majonzi makubwa kwa wana Shinyanga na wana CDM kwa ujamla,kwa kuondokewa na KAMANDA Shelembi ukweli usiopingika itabaki kuwa ni historia ambayo itakuwa ni vigumu kusahaulika, kwa Njinsi Shelembi alivyoagwa na kuzikwa na umati mkubwa ambao haujawahi kutokea katika mji wa Shinyanga, cha ajabu ni kuwa hakuna coverage ya media iliyostahili kwa tukio kama hilo, nimefuatilia kwa umakini kwa siku za karibuni nimegundua kuwa CDM haipewi tena coverage kwa matukio na shughuli zao isipokuwa kama kuna habari ambayo ni negative, inaelekea huu ni mkono mrefu :tape:kutaka kuwapunguzia popularity CDM ulioanzia TBC na kuenea kwenye Mitandao mingine ya Habari,

jana katika media zote haikuripotiwa isipokua nimeambiwa Chanel 10 pekee ndio iliweka hilo tukio katika taarfa ya habari licha ya kuwa na utitiri wa wandishi wa habari, inasikitisha sana hata hao CDM hawana kitengo cha Habari kwa sasa, nimeangalia hata Mtanzania Daima nako ni nusunusu hakuna picha zenye kubeba historia hii kwa uzito wake,

Kuna wakati tuliweza hata kupata video clips za matukio yao, mbali mbali angalau kupitia JF lakini sasa imekuwa ni kimya, kuna msemo unanao sema seeing is believing,

Inasikitisha hata hapa JF hakuna picha hata moja ya mazishi ya Kamanda Shelembi, kuna watu wamelaumu sa vyombo vya habari kuwa mazishi haya hayakuripotiwa, nimeangalia Michuzii mambo ni yaleyale anatanganza kifo cha mtanzania aliye Uingereza ambaye hata jina lake limefutwa, kwa kwa hili simlaumu Michuzi, lawama ziende kwao hao CDM na unongozi mzima, kuna watu ambao leo wanaongelea CDM TV naona hii ni ndoto kama madogo yameshindikana itawezekana makubwa, naomba CDM wajipange kwa hili, maana kilio hiki hakijaanza leo

RIP Shelembi
"Hata mkawanyamazisha hawa mawe yataniimbia" watangaze wasitangaze mbona TZ yote ilijua na kila kona dar, mz ar, shy wanaliongelea!
 
Chadema wakilaumu kitengo chao cha habari kwa kutokuwa karibu na waandishi wa habari. Hapa bongo pasipo kutoa bahasha habari yako haitoki
 
Actally mnapolijadiri ndo mnapojadiri mafaniko yao ya kufanikisha jambo lao la kutofanya caverage matukio ya cdm! so lets not light them but let note that we have knew it already.

Aluta continue.
 


Tuache malalalmiko yasiyo na msingi. Kwani ni lazima kila function ya CDM ipate coverage ya TV? Anzisheni TV yenu ambayo mtakuwa mnaichezea mnavyotaka nyie kwa kuripoti kila tukio halafu muone kama haitapoteza mvuto. Much as ningependa msiba huu uwe covered kutokana na umuhimu na profile ya huyu marehemu lakini tukubali ukweli kwamba CDM hawana haki ya kudhani kwamba kila tukio la CDM ni news worth covering or being picked as a news item.
 


Tuache malalalmiko yasiyo na msingi. Kwani ni lazima kila function ya CDM ipate coverage ya TV? Anzisheni TV yenu ambayo mtakuwa mnaichezea mnavyotaka nyie kwa kuripoti kila tukio halafu muone kama haitapoteza mvuto. Much as ningependa msiba huu uwe covered kutokana na umuhimu na profile ya huyu marehemu lakini tukubali ukweli kwamba CDM hawana haki ya kudhani kwamba kila tukio la CDM ni news worth covering or being picked as a news item.

Mbopo ni kijiji Kimoja kipo Mbezi Shamba Hicho kijiji Wanachonga sana Vinyago!, Ukiona haikufai sema ukiona inakuuma sema,

Prakata tumbah!
 
CDM mnatakiwa kuongeza nguvu kitengo cha Propaganda, ikibidi nendeni Lumumba mkamchukue Tambwe Hiza atawafaa kwa kuwaunganisha na vyombo vya habari

Utukome CDM wewe...Tambwe Hizza si saizi ya CDM kabisa...haendelee huko huko kwa waropokaji wenzake.Maana halisi ya propaganda katika siasa si uwezo wa kuropoka bali uwezo wa kujenga hoja na kutetea hitikadi na mawazo ya chama kazi ambayo Hizza hataweza...
 
Kwani hii habari haijawekwa kwenye website ya chadema? Mbona lawama zingine hazina msingi.

Yaani unanunua ndizi kwa kutegemea kula pilau kwa jilani.
 
Chadema wakilaumu kitengo chao cha habari kwa kutokuwa karibu na waandishi wa habari. Hapa bongo pasipo kutoa bahasha habari yako haitoki

Tafaadhali CDM msifikirie kutoa bahasha hata siku moja. Ila fanyeni hima kuanzisha vyombo vyenu vya habari kupanga ni kuchagua.
 


Tuache malalalmiko yasiyo na msingi. Kwani ni lazima kila function ya CDM ipate coverage ya TV? Anzisheni TV yenu ambayo mtakuwa mnaichezea mnavyotaka nyie kwa kuripoti kila tukio halafu muone kama haitapoteza mvuto. Much as ningependa msiba huu uwe covered kutokana na umuhimu na profile ya huyu marehemu lakini tukubali ukweli kwamba CDM hawana haki ya kudhani kwamba kila tukio la CDM ni news worth covering or being picked as a news item.

ni lini CDM walipata coverage TBC kwa mara ya mwisho
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom