Nani wa kujitoa muhanga?

Sitachoka

JF-Expert Member
Nov 17, 2011
3,030
1,303
Sote tunafahamu mapinduzi ya kweli kule Tunisia yalianzaje, alikuwa ni kijana mmoja aliyetumia muda wake kudili na masomo akawa amehitimu mwisho wake! Hakubahatika kuhajiliwa akahamua kujiajili kwa kufanya biashara ndogondogo (machinga) ambapo alikuwa akisumbuliwa sana na Police. Alichoka akaamua kununua mafuta ya petrol na kujimwagia na kujilipua na aliacha ujumbe na watu waliupata! Maandamano yalianza! Njia sahihi watanzania 2itumie unadhani ni ipi?
 
Kuna kijana aliwekkwa ndani huko mtwara kwa kosa la uzururaji amejinyonga akiwa selo.......
 
Kuna kijana aliwekkwa ndani huko mtwara kwa kosa la uzururaji amejinyonga akiwa selo.......

Atakuwa amechoka kuishi tu huyo lakini tukio lake halina uhusiano na harakati za mapinduzi.
 
Mi niko tyr! Je kwa ntakaowaacha mko tyr kwa mapinduzi ya kweli katika taifa hli?
 
Yoyote hatakae kuwa tayari kujitoa muhanga hasiwe na wasiwasi familia yake taipatia maitaji yote haswa mke wake!
 
Sote tunafahamu mapinduzi ya kweli kule Tunisia yalianzaje, alikuwa ni kijana mmoja aliyetumia muda wake kudili na masomo akawa amehitimu mwisho wake! Hakubahatika kuhajiliwa akahamua kujiajili kwa kufanya biashara ndogondogo (machinga) ambapo alikuwa akisumbuliwa sana na Police. Alichoka akaamua kununua mafuta ya petrol na kujimwagia na kujilipua na aliacha ujumbe na watu waliupata! Maandamano yalianza! Njia sahihi watanzania 2itumie unadhani ni ipi?

marekebisho

.kuhajiliwa=kuajiriwa
.kuhamua=kuamua
.2itumie=???!!!.
 
Unaweza kuwa hata wewe kama unaona inafaa.

Nakutakia kila la kheri ktk maamuzi yako.
 
Sote tunafahamu mapinduzi ya kweli kule Tunisia yalianzaje, alikuwa ni kijana mmoja aliyetumia muda wake kudili na masomo akawa amehitimu mwisho wake! Hakubahatika kuhajiliwa akahamua kujiajili kwa kufanya biashara ndogondogo (machinga) ambapo alikuwa akisumbuliwa sana na Police. Alichoka akaamua kununua mafuta ya petrol na kujimwagia na kujilipua na aliacha ujumbe na watu waliupata! Maandamano yalianza! Njia sahihi watanzania 2itumie unadhani ni ipi?

Samahani Mkuu, huwa sipendi hiki na kwako itakuwa mtu wa kwanza lakini naomba niwie radhi.
Ni kuajiriwa na sio kuajiliwa na ni kujiajiri na sio kujiajili. Maneno hayo asili yake ni neno Ajira.
Shukran.
 
Back
Top Bottom