nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,273
- 3,750
utaleta maneno kwa babu muda huu huu,
mi nakuwekea 'like' mengine utahangaika nayo mwenyewe.
Babu hanaga chake hapa yupo kwa vidonge wenzie kama akina krolokwini
utaleta maneno kwa babu muda huu huu,
mi nakuwekea 'like' mengine utahangaika nayo mwenyewe.
Hamisi Kishindindo
mwajuma ndio anamgwaya hamisi kishindindo.
Najua mimi unanipenda zaidi, ila usiseme hapa.
Hivi unajua akina Hamisi huwa wanakula kimchezo mchezo hivi hivi.
Mara Hamis nibebee maji, mara niongeze fungu la mchicha.
Akili zikija kurudi, anatokea sketini.
Oooh!... Very thanks darling.kwa kifupi najifeel conftable kwa wana chit chat wote ila mtu ambaye ni special kwangu mimi ni Sweetylady
Hehehe! Wacha nijinyamazie.swahiba ngoja nisiseme kwakweli. Bora unalijua hilo.
kwa kifupi najifeel conftable kwa wana chit chat wote ila mtu ambaye ni special kwangu mimi ni Sweetylady
Hehehe! Wacha nijinyamazie.
Hehehe! Wacha nijinyamazie.
Shem mambo..
Kuna zawadi kwa watakaotajwa/taja?
Khaaaaa!!!:coffee::flock:
hamisi kishy atakuoneaje wivu! Lol
Nauliza hivi,humu jf nani ni rafiki yako wa mtandao ambaye kwa sura hamfahamiani (hamjawahi kukutana physically wala kwa simu) lakini hisia zako kwake ni za mtu ambaye mko karibu (you are comfortable around him/her virtually) kiasi kwamba kupitia majibizano mbali mbali kwenye threads/posts unakuwa huna wasiwasi kuwa hata kidole (sio ulimi) kikiteleza hawezi kamwe kukuripoti abuse ukalambwa ban.In the same vein, je ni nani unamgwaya kiasi kwamba thread/post zake unazipitia pembeni au uki comment basi inakuwa ni kwa tahadhari sana maana unaogopa one mistake ataku report abuse ma mods wakutie bakora? sema tu usiogope.
ps: Bishanga ntarudi baadae na majina yangu ngoja kwanza nisokote kipande.