- Thread starter
- #21
nakataa mimi si mzinifu. sijawahi kuwa ndani ya ndoa. nawalaumu madame walifanya hesabu vibaya ikatokea nikakubaliNikisema wewe MZINIFU kwa ushahidi uliotoa wa kuwa na watoto wanne wa nje ya ndoa utakataa? Mzinifu humuoa mzinifu mwenzie hivyo inabidi umtafute mzinifu mwenzako umuoe.