nina umri usiozidi 31. nina watoto wanne kila mmoja na mama yake. wa kwanza nilimpata nikiwa sekondari, wa pili nikiwa chuoni, watatu nikiwa internship na wa nne nikiwa tena chuoni. kati ya hawa wanawake wawili wameshaolewa. ninatamani sana kuoa sasa ila nilipowaendea hao waili waliobaki kila mmoja kwa nafasi yake walikubali ombi langu ila hakuna aliyekubali kuletewa mtoto wa nje. sasa sijui nifanyeje kwasababu sitaki kukaa mbali na wanangu. hivi sasa nimeshawachukua wawili wote wapo boarding school na ninatarajia kuwachukua na hao wengine pia ASAP.
wanajamvi ninatamani kuoa. nawakilisha
wanajamvi ninatamani kuoa. nawakilisha