Nani ni mkali wa kimombo kati ya Nyerere, Mkapa, Kikwete na Slaa!

naona wataalamu wa viinglish NN,Kiranga Kinyambiss ndio watakuwa majaji kny huu mpambano...teh teh yule Blue ray angekuwa chief judge sema siku hizi haonekani Jf sijui ndio kapotezea....
 
Definitely Nyerere ni zaidi ya wapo hapo na JK is the best of the worst.
 
Na akishajua, iweje? Naomba jibu.

Unaniuliza mie swali la yeye anataka iweje akishajua? Kwa nini usimuulize mwenyewe?

Na kuna vitu vingine watu wanataka kujua for knowledge's sake, sio lazima kila knowledge iwe na motive. Intelligent beings are defined by a curiosity to want to know even before they may know the application of the knowledge.

The history of science is full of anecdotes to document scientific discoveries whose discoverers did not have any application at the time of discovery, but later on many applications were developed.

Kwa hiyo swali lako lina assume kwamba kila swali lina a ready application na reason, maswali mengine ni curiosity tu, sasa kama una majibu unaweza kujibu, kama unaweza ku discuss discuss, kama unaona swali si la msingi usichangie tafuta thread ya maana.
 
Hapa hamna mpambano Mkapa semeni kila kitu lakini kiingereza chake kizuri na hotuba zake moto,
 
Kikwete can't speak, can't write, can't think. In either Swahili or English.......still a president of URT!

That just goes to show, he has his own embarassing way of proving some home truth, like the time he said 70% of Tanzanians are "bendera kufuata upepo", it is not funny to see his approval rates judging from the elections does not hover much above that.

Perhaps he is at least intelligent enough to blurb out some embarassing truth. He is only president because the people who chose him don't know what they are doing.
 
Hapa hamna mpambano Mkapa semeni kila kitu lakini kiingereza chake kizuri na hotuba zake moto,

Mkapa hawezi kutoa hotuba live, alijishtukia mapema kwamba akitoa hotuba live anajaa jazba na kuongea kitemi kama sio rais. Ndiyo maana Mkapa mostly huwa ha deviate kutoka a prepared speech.

Nyerere on the other hand, is the most abled president to give an impromptu speech, kuna speech moja alitoa a complete breakdown from Hegelian dialectics to workers struggles and the rise of the tigers, aka tie in ma brain drain na globalization. Mzee akiangalia karatasi anaangalia main point ya kuongea tu, halafu for the next twenty minutes anaflow. Mkapa could never do this.
 
Unaniuliza mie swali la yeye anataka iweje akishajua? Kwa nini usimuulize mwenyewe?

Na kuna vitu vingine watu wanataka kujua for knowledge's sake, sio lazima kila knowledge iwe na motive. Intelligent beings are defined by a curiosity to want to know even before they may know the application of the knowledge.

The history of science is full of anecdotes to document scientific discoveries whose discoverers did not have any application at the time of discovery, but later on many applications were developed.

Kwa hiyo swali lako lina assume kwamba kila swali lina a ready application na reason, maswali mengine ni curiosity tu, sasa kama una majibu unaweza kujibu, kama unaweza ku discuss discuss, kama unaona swali si la msingi usichangie tafuta thread ya maana.
You are somehow running away! To me you seem to be advocating the outdated and neo-colonial thesis that 'proper command of English reflects the level of one's intelligence', as formulated in your previous posts!
 
How would you define intelligence in the context presented here?

I have never really associated politicians' eloquence with intelligence. So whether there is a correlation between someone's verbal fluency and their intelligence, I think you can find plenty of examples to back either side of the argument you chose to be on.
 
Na vipi kuhusu kwenye Kiswahili, nani kati ya hao ni mkali zaidi? Na huyo mkali zaidi ina maana ndo mwenye akili zaidi?
 
You are somehow running away! To me you seem to be advocating the outdated and neo-colonial thesis that 'proper command of English reflects the level of one's intelligence', as formulated in your previous posts!

Ungefuatilia mabandiko yangu hapa ungejua running away is not in my nature.

Halafu ungejua pia kwamba siku chache tu zilizopita katika mjadala uliotaka kuwa penalize wabunge wa Tanzania wasiojua Kiingereza wasiweze kuwakilisha Tanzania katika bunge la Afrika, niliwatetea kwa kusema kwamba jambo zima la kusema mbunge asiwasilishe Tanzania kwa sababu hajui Kiingereza halina mantiki kwa sababu kujua Kiingereza si kipimo cha intelligence. Hili nimelisema tena mara kadhaa hapa.

Kwa hiyo assertions zako zote mbili zinatokana na lack of observation.
 
Na vipi kuhusu kwenye Kiswahili, nani kati ya hao ni mkali zaidi? Na huyo mkali zaidi ina maana ndo mwenye akili zaidi?

First reply ya thread nimemtaja Ally Hassan Mwinyi kuwa alijua Kiswahili zaidi (kwa kuelewa absurdity ya kuwashindanisha marais wa Tanzania katika Kiingereza)

Na nimeeleza pia kwamba ujuzi wake huo wa Kiswahili haukumsaidia kuwa mtendaji bora zaidi.
 
Na vipi kuhusu kwenye Kiswahili, nani kati ya hao ni mkali zaidi? Na huyo mkali zaidi ina maana ndo mwenye akili zaidi?
Mkuu kwenye 20 poorest countries in world Tanzania tumo, sasa sijui ukiwa mkali wa komombo ndio Tanzania itakuwa nchi tajiri, kuna vitu vya ku-Collate sio kimombo na kiswahili
 
First reply ya thread nimemtaja Ally Hassan Mwinyi kuwa alijua Kiswahili zaidi (kwa kuelewa absurdity ya kuwashindanisha marais wa Tanzania katika Kiingereza)

Na nimeeleza pia kwamba ujuzi wake huo wa Kiswahili haukumsaidia kuwa mtendaji bora zaidi.

Ok Kiranga, hivi umahiri wa lugha una uhusiano wowote na utendaji? Inavyosemekana marehemu Sokoine alikuwa mtendaji mzuri sana. Kwenye lugha alikuwaje?
 
Ok Kiranga, hivi umahiri wa lugha una uhusiano wowote na utendaji? Inavyosemekana marehemu Sokoine alikuwa mtendaji mzuri sana. Kwenye lugha alikuwaje?

I addressed this in the very first reply to this thread, and again in answering your question on "Who was the best in Swahili"
 
Mkuu kwenye 20 poorest countries in world Tanzania tumo, sasa sijui ukiwa mkali wa komombo ndio Tanzania itakuwa nchi tajiri, kuna vitu vya ku-Collate sio kimombo na kiswahili

Lakini original question haikusema inataka kufanya poverty alleviation, that's where people get the thread wrong.

It is automatically assumed, without merit, that the thread is about intelligence contest, poverty alleviation, economic advancement and many other grandiose illussions.

The original question simply asked about president's linguistic abilities. Watu washaanza ku form conclusions mia moja na moja.
 
Back
Top Bottom