mwalimu_salum
Member
- Jul 14, 2011
- 12
- 2
Mara kwa mara wanaume tumekua tukilaumiwa na wanawake kuwa ni chanzo cha vurugu ktk mapenzi na hata ndoa pia.
Kwa upande mwingine,wanaume tumekua tukiwashutumu wanawake kuwa ndo waanzilishi wa migogoro ktk mahusiano.
Kwa uchunguzi mdogo niloufanya nimegundua kwamba wanaume tulio wengi tunaamin kwamba wanawake ni viumbe watenda maovu tu,kwa hiyo mabaya ambayo mwanaume hulifanya kila siku ni mema(ni sahihi) ila baya moja ambalo mwanamke amelifanya kwa siku moja ni dhambi kubwa sana.
Wana JF naomba mwongozo ktk hili.
Kwa upande mwingine,wanaume tumekua tukiwashutumu wanawake kuwa ndo waanzilishi wa migogoro ktk mahusiano.
Kwa uchunguzi mdogo niloufanya nimegundua kwamba wanaume tulio wengi tunaamin kwamba wanawake ni viumbe watenda maovu tu,kwa hiyo mabaya ambayo mwanaume hulifanya kila siku ni mema(ni sahihi) ila baya moja ambalo mwanamke amelifanya kwa siku moja ni dhambi kubwa sana.
Wana JF naomba mwongozo ktk hili.