Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,759
- 5,289
Wanazitest kama vile tunavotumia (kwamba unamchagua mdada/mkaka then mna do) au? Isije wao wanatest kwa robot afu sie tunakubali tu. Kama ni binadamu ndio wanafanya kazi hiyo ikiwezekana wawe wanabadilika badilika hata kwa kugombea kama vile ubunge(ili na mimi niwe mgombea, hahaha) najua hata akina @exllent BAGAH Kongosho,pretta mama D,@ff Erickb52 n. k watakuwa wagombea
Last edited by a moderator: