Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,993
- 144,329
Wadau mimi kuna kitu nimegundua kuhusu hii selectio ya ud na labda niulize wenzangu kama mmeona kitu kama hiki au hata mapungufu mengine.Hii selection inaweza ikawa ya kweli ila hata hivyo kuna mambo ambayo hayako sawa.Nimegundua mambo hayo kutokana na kozi nilizoomba:-
1.Moja ya kozi nilizoomba ni B.sc with educatio code UD032
Kozi hii kwenye guide book ilionyshe kuna nafasi 300.Cha ajabu ni kuwa kwenye hii selection ya ud kuna majina 282 tu na hivyo nilitarajia kuona available solts 18 ila ukweli ni kwamba available slots kwa hii kozi hakuna yaani ni zero.Sasa hizo nafasi 18 zimekwenda wapi?Makosa ni ya TCU au ni hii seletion ya ud?
2.Kozi ya general scince code UD020
Hii kozi kwenye guide book ilionyesha nafasi 40 ila kwenye selection ya UD kuna majina 38 tu na ukija kwenye available slots ni zero.Sasa hizo nafasi 2 mbona kwenye selection ya ud hazionekani wakati kwenye available sots ya TCU ni zero kwa maana ya kwamba nafasi zote 40 zimejaa.Kama zimejaa mbona kuna majina 38 tu badala ya 40 kwenye hii selection ya ud?
3.B.sc with education code UDM03 ya mkwawa kama chuo kishiriki cha ud
Hii kozi kwenye guide book ilionyeha nafasi 150.Cha kushangaza kwenye available slots hakuna nafasi kwa maana ya kuwa nafasi zote 150 zimejaa lakini ukija kwenye hii selection ya ud kuna majina 141 tu badala ya majina 150 ili kweli kozi hii iwe imetimia.
Makosa kama haya nimeyaona ktk program hizi UD034 na UDO36.Mapungufu haya nimeyagudua kwasababu hizi ni miongoni mwa kozi nilizoomba.Yaani hakuna uhusiana kati ya nafasi zilizokuwepo kwenye guide book,available slots na idadi ya waliochaguliwa ktk hii selection ya ud.Sasa sijui hali ikoje kwa kozi zingine.
Hata hivyo, lazima nikiri kuwa nimegundua usahihi ktk kozi moja miongoni mwa nilizoomba nayo ni B.sc.with education code UDD03 ya Duce(chuo kishiriki cha ud).Hii kozi kwenye guide book kulikuwa na nafasi 200 na kwenye available slots kuna nafasi 12 tu.Hii ni sahihi kwasababu hata kwenye hii selection ya ud kuna majina 188 tu kwahiyo ni kweli lazima kuwe available slots 12 ili kutimiza idadi ya majina 200 kama guide book ilivyokuwa inaonyesha.
Kama kuna mwenye kuweza kutupa ufafanuzu atusaidie maana wakati mwingine nahisi hizo nafasi ambazo hazionekani labda ziko kwa ajili ya watu fulani ambao walitengewa kwasababu mbalimbali.
1.Moja ya kozi nilizoomba ni B.sc with educatio code UD032
Kozi hii kwenye guide book ilionyshe kuna nafasi 300.Cha ajabu ni kuwa kwenye hii selection ya ud kuna majina 282 tu na hivyo nilitarajia kuona available solts 18 ila ukweli ni kwamba available slots kwa hii kozi hakuna yaani ni zero.Sasa hizo nafasi 18 zimekwenda wapi?Makosa ni ya TCU au ni hii seletion ya ud?
2.Kozi ya general scince code UD020
Hii kozi kwenye guide book ilionyesha nafasi 40 ila kwenye selection ya UD kuna majina 38 tu na ukija kwenye available slots ni zero.Sasa hizo nafasi 2 mbona kwenye selection ya ud hazionekani wakati kwenye available sots ya TCU ni zero kwa maana ya kwamba nafasi zote 40 zimejaa.Kama zimejaa mbona kuna majina 38 tu badala ya 40 kwenye hii selection ya ud?
3.B.sc with education code UDM03 ya mkwawa kama chuo kishiriki cha ud
Hii kozi kwenye guide book ilionyeha nafasi 150.Cha kushangaza kwenye available slots hakuna nafasi kwa maana ya kuwa nafasi zote 150 zimejaa lakini ukija kwenye hii selection ya ud kuna majina 141 tu badala ya majina 150 ili kweli kozi hii iwe imetimia.
Makosa kama haya nimeyaona ktk program hizi UD034 na UDO36.Mapungufu haya nimeyagudua kwasababu hizi ni miongoni mwa kozi nilizoomba.Yaani hakuna uhusiana kati ya nafasi zilizokuwepo kwenye guide book,available slots na idadi ya waliochaguliwa ktk hii selection ya ud.Sasa sijui hali ikoje kwa kozi zingine.
Hata hivyo, lazima nikiri kuwa nimegundua usahihi ktk kozi moja miongoni mwa nilizoomba nayo ni B.sc.with education code UDD03 ya Duce(chuo kishiriki cha ud).Hii kozi kwenye guide book kulikuwa na nafasi 200 na kwenye available slots kuna nafasi 12 tu.Hii ni sahihi kwasababu hata kwenye hii selection ya ud kuna majina 188 tu kwahiyo ni kweli lazima kuwe available slots 12 ili kutimiza idadi ya majina 200 kama guide book ilivyokuwa inaonyesha.
Kama kuna mwenye kuweza kutupa ufafanuzu atusaidie maana wakati mwingine nahisi hizo nafasi ambazo hazionekani labda ziko kwa ajili ya watu fulani ambao walitengewa kwasababu mbalimbali.