Sharo hiphop
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 660
- 99
Kuna mzee mmoja (mfanyakazi/mheshimiwa) alienda semina mbali na kwake, huko ikabidi akuchukue nyumba cha kulala wageni, baadae ikabidi atume wahudumu wamtafutie kiburudisho (ka CD). Kwa kuwa yeye alikuwa amelewa chakari na bahati mbaya siku hiyo umeme haukuwepo ikabidi akipokee kiburudisho chake hivohivo. Aliletewa binti mrembo ambaye na yeye alikuwa maji, basi hawa wapenzi wawili waliokuwa wamelewa usiku huo wakatafunana usiku kucha kwani hawakuweza kuonana kwa sababu ya giza. Mze alikuwa na ugwadu sana na huyo binti nae alikuwa na njaa ya hela,
asubuhi dingi anashtuka aliekulana nae ni binti yake ambaye yuko mkoani hapo kwa ajili ya masomo ya chuo kikuu!
Ilikuwa boooooooooooonge la aibu. SASA,,,,,,,,
mwenye kosa ni nani?
1. Wahudumu?
2. Mla chenchi?
3. Chenchi yenyewe?
4. Au nani????
Karibuni waheshimiwa jamvini!!
asubuhi dingi anashtuka aliekulana nae ni binti yake ambaye yuko mkoani hapo kwa ajili ya masomo ya chuo kikuu!
Ilikuwa boooooooooooonge la aibu. SASA,,,,,,,,
mwenye kosa ni nani?
1. Wahudumu?
2. Mla chenchi?
3. Chenchi yenyewe?
4. Au nani????
Karibuni waheshimiwa jamvini!!