Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,085
Askofu aliendesha harambee
kuchangia ujenzi wa kanisa. Wakristo
wakatoa Tshs75,050 tu. Ghafla
majambaz wakateka kanisa na
kuamrisha kila mtu atoe alichonacho!
Wakakusanya Tshs 8,945,800 kisha majambazi wakamkabidh askofu fedha
hizo zote ili aendeleze ujenzi. Je
majambazi wana dhambi au wakristo
wanathawabu? Toa maoni yako.
kuchangia ujenzi wa kanisa. Wakristo
wakatoa Tshs75,050 tu. Ghafla
majambaz wakateka kanisa na
kuamrisha kila mtu atoe alichonacho!
Wakakusanya Tshs 8,945,800 kisha majambazi wakamkabidh askofu fedha
hizo zote ili aendeleze ujenzi. Je
majambazi wana dhambi au wakristo
wanathawabu? Toa maoni yako.