mambo moto
Member
- Mar 7, 2012
- 12
- 0
Huyu bwana anafanya kazi kisanii sana kwenye gazeti la Guardian On Sunday kama mhariri wa michezo. Bahati mbaya sana lugha inampiga chenga na pia hajui bahari za michezo, ninasikia kwamba kabla ya kuhamia kwenye magazeti ya Mengi alikuwa Daily News kama proof-reader, lakini leo ni mhariri wa habari za michezo. Huo uandishi kausomea wapi?
Mwenye taarifa zake naomba anisaidie jamani, kwani ninahamu ya kufahamu sana habari za huyu fara.
Mwenye taarifa zake naomba anisaidie jamani, kwani ninahamu ya kufahamu sana habari za huyu fara.