WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
lolz
frankly speaking madume hatuvumilii hata chembe.....mimi binafsi namiliki password ya email zake,from thursday mpaka j3 simu zote zinazoingia kwake nime divert kwangu.....hana password zangu na n.k...
hii sio mfumo dume ni jinsi gani ninavyomjali na anapenda kweli kweli
Huyu ni mke au galfriend?
Kama ni mke basi umefanikiwa kumgeuza mwanasesere - hongera!
Kama ni gf basi iko siku utashangaa atakavyokuponyoka!