sixlove
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 548
- 369
Siku moja katika familia fulani, baba na mama waliamua kuwauliza watoto wao, je kati yao nani muoga, na mazungumzo yao yalikuwa hivi:
baba: eti wanangu kati ya mimi na mama yenu ni nani muoga?
mtoto wa kwanza. mama ndio muoga kwani baba huwa akisafiri mama hawezi kutoka nje peke yake usiku
mtoto wa pili: baba ndio muoga kwani mama akisafiri, baba huwa hawezi kulala peke yake, huwa analala na housegirl.
TABIRI KILICHOTOKEA
baba: eti wanangu kati ya mimi na mama yenu ni nani muoga?
mtoto wa kwanza. mama ndio muoga kwani baba huwa akisafiri mama hawezi kutoka nje peke yake usiku
mtoto wa pili: baba ndio muoga kwani mama akisafiri, baba huwa hawezi kulala peke yake, huwa analala na housegirl.
TABIRI KILICHOTOKEA