kalukamise
JF-Expert Member
- May 4, 2011
- 683
- 189
[FONT=comic sans ms,sans-serif]Jamaa walikubaliana washindane kusema uongo ambao utafanana na ukweli, mshindi apewe zawadi...
Mmmarekani: Kwetu sisi kule New York kuna majumba mareeefu [/FONT]
[FONT=comic sans ms,sans-serif] yanafika mbinguni!
[/FONT]
[FONT=comic sans ms,sans-serif]Jamaa: loh nyumba gani hizo mpaka mbinguni?
[/FONT]
[FONT=comic sans ms,sans-serif]Mmarekani: aah ok...kwa chini kidogo.
M-bagamoyo: Sisi kwetu kuna minazi mireefu inafika mbinguni!
[/FONT]
[FONT=comic sans ms,sans-serif]Jamaa: loh na wewe nawe?
[/FONT]
[FONT=comic sans ms,sans-serif]M-bagamoyo: hapana kwa chini kidogo.
Mmasai: Kule kwetu watu nasalia kwa kitovu!
[/FONT]
[FONT=comic sans ms,sans-serif]Jamaa: aaah Mmmasai bwana loh umezidi sasa...
[/FONT]
[FONT=comic sans ms,sans-serif]Mmasai: errooo kwa chini kidogo!
Mshindi ni nani hapo?[/FONT]
Mmmarekani: Kwetu sisi kule New York kuna majumba mareeefu [/FONT]
[FONT=comic sans ms,sans-serif] yanafika mbinguni!
[/FONT]
[FONT=comic sans ms,sans-serif]Jamaa: loh nyumba gani hizo mpaka mbinguni?
[/FONT]
[FONT=comic sans ms,sans-serif]Mmarekani: aah ok...kwa chini kidogo.
M-bagamoyo: Sisi kwetu kuna minazi mireefu inafika mbinguni!
[/FONT]
[FONT=comic sans ms,sans-serif]Jamaa: loh na wewe nawe?
[/FONT]
[FONT=comic sans ms,sans-serif]M-bagamoyo: hapana kwa chini kidogo.
Mmasai: Kule kwetu watu nasalia kwa kitovu!
[/FONT]
[FONT=comic sans ms,sans-serif]Jamaa: aaah Mmmasai bwana loh umezidi sasa...
[/FONT]
[FONT=comic sans ms,sans-serif]Mmasai: errooo kwa chini kidogo!
Mshindi ni nani hapo?[/FONT]