Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Habari za sahizi wapendwa,poleni sana kwa shughuli za kila siku na uchovu mwingi wa kazi.
Naanza kwa title inayosema ""MSIWALAUMU WANAUME,WANAWAKE NDO WASALITI TOKA UUMBAJI WA DUNIA''(wachache waaminifu ila siwafahamu)
Kusalitiwa katika mapenzi inaumiza sana,kuna kusalitiwa kwa njia tofauti au aina ya usaliti ila nadhani moja ya usaliti unaomiza ni pale unapogundua mpenzi wako anauhusiano wa siri na mtu mwingine,hapo kama bado unampenda unaweza kumsamehe,pia inaumiza zaidi inapotokea mpenzi wako wa mda mrefu kapewa mimba na mtu mwingine.
Mfano~~~~
Ilitokea kupendana na msichana mmoja na kushibana ila baadaye kutokana na kazi yangu ya kuzunguka(kuhama hama)nikawa naonana naye mara moja kwa wiki ila mawasiliano yalikwepo kila mara pia wazazi wa pande zote walifahamu uhusiano wetu.Huyu mwenzangu alikuwa anajua kabisa nahangaikia maisha na nilimweleza nafanya hayo yote kwa ajili ya faida yetu ya maisha ya baadaye na pia nisije nikamleta kwenye maisha magumu.Ktk kuzunguka huko kwa vile hiyo kazi yangu ilikuwa ya mda tu na sio ya kudumu ikabidi nirudi mtaani na kupanga naye cha kufanya ili tuwe pamoja.Ile tu nafika mtaani napewa taarifa kuwa amepewa mimba na mtu mwingine mwenye mke wake.Huyu msichana alichofanya ni kunililia ili nisimwache maana anajua yule mtu ana mke wake na dini hairuhisu yeye kuwa mke wa pili.Nilichofanya ni kumkataa na kumwambia mi na wewe basi na sitaki tena uhusiano wa aina yoyote.Cha kushangaza wazazi wake walipogundua ana mimba wakamtenga,wakampatia chumba cha kupanga na ajitegemee mwenyewe.Uhusiano ukawa umeisha kabisa na hakuna mawasiliano tena na mimi.
Baada ya mwaka 1 nikaanza uhusiano na mwingine na nilikuwa namfamu vizuri na tabia zake zilikuwa nzuri,nikaenda safarini miezi mitatu,siku moja nikampigia simu nashangaa akapokea mwanaume na kusema kuwa yeye ndo boyfriend mpya wa huyo msichana na mimi ni X boy. Siku iliyofuta niliongea naye kwenye simu akawa anajiuma uma tu bila points za msingi,Kuanzia hapo nikakata uhusiano naye na huu ni mwaka wa tatu hatujaona lakini bado ananitumia sms na huwa sijibu,akipiga sipokei.
Kutokana na matukio kama haya nimejikuta siwezi kumpenda msichana kwa asilimia yote,yaani nitamwamini kwa asilimia 60.na hata nikiwa naye na kuniambia ananipenda au anifanyie hata chochote kweli mi namwona mwongo tu na sasa hivi hata msichana akinisaliti au kunitenda siumii sana mana moyo wangu umeshakuwa mgumu.
Namalizia kwa kusema''Hakuna haja ya wanawake kupiga kelele,kulalamika kwamba wanasalitiwa na wanaume,wao ndo waliowajengea wanaume kwenye mazingira ya usaliti,wanawake wanashawishika sana,wana tamaa ya vitu vidogo,hata kwenye maandiko matakatifu EVE(HAWA)ndo msaliti wa kwanza na kumsababisha mwenzake kuadhibiwa na MUNGU,wao wenyewe wanajiweka ktk mazingira ya kudanganywa na kutongozwa,ndo maana hata shetani akatumia hiyo chance kumdanganya,kwa hiyo usaliti mwingi unatoka kwa wanawake''
Ni mtazamo wangu tu msinipige mawe:
IF I'M WRONG PROVE ME WRONG!
IF I'M RIGHT PROVE ME RIGHT!
By Excellent
Naanza kwa title inayosema ""MSIWALAUMU WANAUME,WANAWAKE NDO WASALITI TOKA UUMBAJI WA DUNIA''(wachache waaminifu ila siwafahamu)
Kusalitiwa katika mapenzi inaumiza sana,kuna kusalitiwa kwa njia tofauti au aina ya usaliti ila nadhani moja ya usaliti unaomiza ni pale unapogundua mpenzi wako anauhusiano wa siri na mtu mwingine,hapo kama bado unampenda unaweza kumsamehe,pia inaumiza zaidi inapotokea mpenzi wako wa mda mrefu kapewa mimba na mtu mwingine.
Mfano~~~~
Ilitokea kupendana na msichana mmoja na kushibana ila baadaye kutokana na kazi yangu ya kuzunguka(kuhama hama)nikawa naonana naye mara moja kwa wiki ila mawasiliano yalikwepo kila mara pia wazazi wa pande zote walifahamu uhusiano wetu.Huyu mwenzangu alikuwa anajua kabisa nahangaikia maisha na nilimweleza nafanya hayo yote kwa ajili ya faida yetu ya maisha ya baadaye na pia nisije nikamleta kwenye maisha magumu.Ktk kuzunguka huko kwa vile hiyo kazi yangu ilikuwa ya mda tu na sio ya kudumu ikabidi nirudi mtaani na kupanga naye cha kufanya ili tuwe pamoja.Ile tu nafika mtaani napewa taarifa kuwa amepewa mimba na mtu mwingine mwenye mke wake.Huyu msichana alichofanya ni kunililia ili nisimwache maana anajua yule mtu ana mke wake na dini hairuhisu yeye kuwa mke wa pili.Nilichofanya ni kumkataa na kumwambia mi na wewe basi na sitaki tena uhusiano wa aina yoyote.Cha kushangaza wazazi wake walipogundua ana mimba wakamtenga,wakampatia chumba cha kupanga na ajitegemee mwenyewe.Uhusiano ukawa umeisha kabisa na hakuna mawasiliano tena na mimi.
Baada ya mwaka 1 nikaanza uhusiano na mwingine na nilikuwa namfamu vizuri na tabia zake zilikuwa nzuri,nikaenda safarini miezi mitatu,siku moja nikampigia simu nashangaa akapokea mwanaume na kusema kuwa yeye ndo boyfriend mpya wa huyo msichana na mimi ni X boy. Siku iliyofuta niliongea naye kwenye simu akawa anajiuma uma tu bila points za msingi,Kuanzia hapo nikakata uhusiano naye na huu ni mwaka wa tatu hatujaona lakini bado ananitumia sms na huwa sijibu,akipiga sipokei.
Kutokana na matukio kama haya nimejikuta siwezi kumpenda msichana kwa asilimia yote,yaani nitamwamini kwa asilimia 60.na hata nikiwa naye na kuniambia ananipenda au anifanyie hata chochote kweli mi namwona mwongo tu na sasa hivi hata msichana akinisaliti au kunitenda siumii sana mana moyo wangu umeshakuwa mgumu.
Namalizia kwa kusema''Hakuna haja ya wanawake kupiga kelele,kulalamika kwamba wanasalitiwa na wanaume,wao ndo waliowajengea wanaume kwenye mazingira ya usaliti,wanawake wanashawishika sana,wana tamaa ya vitu vidogo,hata kwenye maandiko matakatifu EVE(HAWA)ndo msaliti wa kwanza na kumsababisha mwenzake kuadhibiwa na MUNGU,wao wenyewe wanajiweka ktk mazingira ya kudanganywa na kutongozwa,ndo maana hata shetani akatumia hiyo chance kumdanganya,kwa hiyo usaliti mwingi unatoka kwa wanawake''
Ni mtazamo wangu tu msinipige mawe:
IF I'M WRONG PROVE ME WRONG!
IF I'M RIGHT PROVE ME RIGHT!
By Excellent