UDA ndio kampuni ya usafiri ambayo imepewa kipaumbele na serikali mfano Kburi? cha kutesa abiria na kufanya yapendavyo bila kufuata root kukatisha root kwenda kokote yapendako na kufanya huduma pekee ya mnazi mmoja feri root ambayo ni fupi kwa gharama ya 400 ... Nani mmiliki na nani yuko nyuma ya pazia ... Chini ya kapeti kuna nini kuhusu UDA ?