Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
Salaam wanaJF!
Hiyo kampuni ni ya usafirishaji wa bidhaa za mafuta (petroleum). Na destination yao ni kwenye migodi ya madini inayomilikiwa na Barrick kupitia kwa African Barrick!
Hii kampuni ina lorries zaidi ya 100! Kwa wale wanaokaa pembezoni mwa barabara ya DSM-Moro-Dom-Singida-Igunga-Kahama-Biharamulo,naamini wanafahamu namna gani hiyo kampuni ilivyo na lorries za kumwaga.
Sasa mmiliki wake ni nani? Kwani kampuni hiyo inaandikwaga kama PRIMEFUELS (T) LTD! Ina mana ipo pia na nje ya TZ,ya hapa TZ ni kama branch. Nani anamiliki mali yote hiyo?
Hiyo kampuni ni ya usafirishaji wa bidhaa za mafuta (petroleum). Na destination yao ni kwenye migodi ya madini inayomilikiwa na Barrick kupitia kwa African Barrick!
Hii kampuni ina lorries zaidi ya 100! Kwa wale wanaokaa pembezoni mwa barabara ya DSM-Moro-Dom-Singida-Igunga-Kahama-Biharamulo,naamini wanafahamu namna gani hiyo kampuni ilivyo na lorries za kumwaga.
Sasa mmiliki wake ni nani? Kwani kampuni hiyo inaandikwaga kama PRIMEFUELS (T) LTD! Ina mana ipo pia na nje ya TZ,ya hapa TZ ni kama branch. Nani anamiliki mali yote hiyo?