Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,918
- 95,201
Wana jamvi amani iwe kwenu,
Kufuatia gazeti la Hahabri Leo kuamua kuandika habari zinazokibeba CCM na kuandika habari za kuviponda vyama vya Upinzani, naomba kujua mmiliki wa gazeti hilo, mishahara wanalipwa na fedha za nani?
Kufuatia gazeti la Hahabri Leo kuamua kuandika habari zinazokibeba CCM na kuandika habari za kuviponda vyama vya Upinzani, naomba kujua mmiliki wa gazeti hilo, mishahara wanalipwa na fedha za nani?
Serikali kupitia shirika lake la Tanzania Standard Newspaper. Ndo wanachapisha na Daily News