ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,707
- 28,253
Mshana jr mganga...........faiza foxy........ajuza wizard...hawawezi patana !
Kabisa...Au mmoja wao kamtuma huyu aandike hapa
Vis ni nini mkuu? Ama ulikusudia ka vitzHahahaahahhaahahahah nchi ya viwanda asee itapatikana kweli ? wananch wanashindana nani anaijuwa miziziology ?
Hahahahah sasa hapa mwanga zaid ya mwenzake ni yupi Faiza Foxy vis mshana jr
Aaa safari ni ndef sasa wanga washaanza kujitokeza
Sijaona za nguvu za kiume mkuupowerful oil
Powerful soap
Tunaondoa Uganga NA uchawi wote uliofanyiwa na kukulinda NA mizimu yaukoobei rahisi Katniss masharti nafuu
Tuko oilcom ubungoonjeyamsikiti
Nimeipatasehemuuu hiii nkasemaitawasaidia washiriki
Huo ni ushabiki wa kitoto kuingiza kitimoto au udini eti Mods wakutoe. Huwezi mfananisha Mshana verified user kwa picha na jina, wakati hatavukimtafuta kwa simu unampata. Naomba Mods wakutoe ukishindwa kutupa picha halisi ya Faiza fox no yake ya simu na hasa jinsia (ni mwanaume) Mm nashangaa Member na hasa mleta Mada kuchonganisha hawa waanzisha thread kila siku, sijui mnataka walete za Siasa? au wasichangie kabisa? Faiza Fox ana uzi wake kabisa kasema tumuulize lolote Mshana pia sasa huu uzi ni wa nini Mods ufunge kwani hawa watu ni wakazi wa mtaa mmoja Dar, DINI moja, Watanzania hawajatuchosha ila wafitini wanakujaWe itakua umeathirika na ulaji wa kitimoto,hivi kuna mtu anajadili vitu with evidence kama faiza?sidhani,acha chuki kama uko mweupe kichwani elewa kuna watu wanauwezo mzuri wa kufahamu mambo,hebu niandikie uzushi wowote ulioletwa na faiza ntaomba mods wanitoe milele
Vis ni nini mkuu? Ama ulikusudia ka vitz
Unauelewa vp uchawi wa ngendeMie Najua Uchawi wa Ngende huku Nangwanda Sijaona.