Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,648
- 75,729
Ulistukiwa au!hiyo tabia mbaya,ndo maana mi niliunganisha viID vyangu
Ulistukiwa au!hiyo tabia mbaya,ndo maana mi niliunganisha viID vyangu
nilijishtukia mwenyewe ikabidi niombe pooUlistukiwa au!
Na wewe ni Gt ? Mbona hilo la kukojoa nilishasema hapo juu kwamba sio kweli ni mfano nilioutoa tusasa humu kuna omba omba??halafu hilo la punyeto niliuliza kama zipo,na wewe inabidi uulize dawa ya kuacha kukojoa,kikojozi wewe
Nilichouliza hujakijibu Mkuu ,Nashukuru kwa Muda wako japo sijui ni nini faida ya kuwa Jf-Expert Memberndio maana nabishana na wewe ili uwe JF-Expert member wala sipo serious
kuanzia leo we adui yanguNilichouliza hujakijibu Mkuu ,Nashukuru kwa Muda wako japo sijui ni nini faida ya kuwa Jf-Expert Member
Uwe na jioni/Mchana/Usiku/Asubuhi njema
Vibaya hivo... Mpende jirani yako kama nafsi yakokuanzia leo we adui yangu
Sipo hapa Jf kwa ajili hiyo ,mpaka hapa umejidhalilisha tu na sio kweli kwamba wote waliopo humu ni Great thinkers ,hakuna GT anaye tafuta uadui na ID za jamii Forum kisa tu mmepishana au hamkubaliani kwa jambo fulanikuanzia leo we adui yangu
jirani namsaidia like na replies anasema haoni umuhimu wake,mungu anamuonaVibaya hivo... Mpende jirani yako kama nafsi yako
Nashukuru Mkuu kwa busara hizi ,Upendo ndio amri iliyo kuu ukifanikiwa kwenye hili basi maisha yako yatakua ya furaha kwa kiasi kikubwaVibaya hivo... Mpende jirani yako kama nafsi yako
maADUI ni watu ambao hawaelewani kwa kuwa mimi na wewe hatuelewani basi ni maadui!ila sio laziiiima unung'uniiike mkuu ndo changamoto za humuSipo hapa Jf kwa ajili hiyo ,mpaka hapa umejidhalilisha tu na sio kweli kwamba wote waliopo humu ni Great thinkers ,hakuna GT anaye tafuta uadui na ID za jamii Forum kisa tu mmepishana au hamkubaliani kwa jambo fulani
Na mbaya zaidi unajiita The Book fanya kusoma hivyo vitabu maarifa mengi yamefichwa humo
Asante MkuumaADUI ni watu ambao hawaelewani kwa kuwa mimi na wewe hatuelewani basi ni maadui!ila sio laziiiima unung'uniiike mkuu ndo changamoto za humu
mkuu naona unaendelea kunitolea povu,huku unaelekea kwenye umaarufu...interestingNashukuru Mkuu kwa busara hizi ,Upendo ndio amri iliyo kuu ukifanikiwa kwenye hili basi maisha yako yatakua ya furaha kwa kiasi kikubwa
Ndugu basi naomba tuishie hapa ,Upendo ni swala la Povu ?mkuu naona unaendelea kunitolea povu,huku unaelekea kwenye umaarufu...interesting
POVU kwa kisasa ni maneno yasemwayo na mtu kwa mtu mwingine kwa manung'uniko,ebu nifollow kwanza tuwe pamojaNdugu basi naomba tuishie hapa ,Upendo ni swala la Povu ?
Asante nitafanya hivyo nitakapo ingia jamii forum kwa kutumia browser ,sasa hivi natumia Jf App na kwa sababu kadhaa zilizo ndani ya uwezo wangu siwezi ku login kwa kutumia BrowserPOVU kwa kisasa ni maneno yasemwayo na mtu kwa mtu mwingine kwa manung'uniko,ebu nifollow kwanza tuwe pamoja
basi poa mkuu!!Asante nitafanya hivyo nitakapo ingia jamii forum kwa kutumia browser ,sasa hivi natumia Jf App na kwa sababu kadhaa zilizo ndani ya uwezo wangu siwezi ku login kwa kutumia Browser
Nenda nae taratibu ataelewa tujirani namsaidia like na replies anasema haoni umuhimu wake,mungu anamuona
GoodAsante nitafanya hivyo nitakapo ingia jamii forum kwa kutumia browser ,sasa hivi natumia Jf App na kwa sababu kadhaa zilizo ndani ya uwezo wangu siwezi ku login kwa kutumia Browser
basi poa mkuu!!