muhosni
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 1,108
- 152
- Thread starter
- #101
Olesendeka, Mwakyembe, Kilango, Six na wa namna hiyo. Hapo vipi?:mmph:
Mkuu, hao uliowataja nao ni mafisaad tosha, mapambano yao yalitokana na wivu wa kuzidiwa maarifa na wenzao, siyo ukombozi wa mlala hoi. Kama siyo njaa mbona hao wawili hawakukataa uwaziri wa kifisadi na mashangingi? Huyo sendeka hajui kusoma na kuandika! Kilango naye, aa ngoja ninyamaze tu