hayupo hata mmoja, kuna bubu mmoja alikwapua Richmond akachinjiwa mtoni eti na ububu wake wa miaka minane leo anataka awe rais, hivi akili iko kweli huyu jamaa?
haha...huyu bubu hata akiongea utacheka hajui anaongea nini?hana mawasiliano ya anachoongea na ule utundu wake wa kamati za mipango.Siku hizi huwa anarudiarudia tuu slogans wanazompandikizia wapambe na wachunaji wake...hayupo hata mmoja, kuna bubu mmoja alikwapua Richmond akachinjiwa mtoni eti na ububu wake wa miaka minane leo anataka awe rais, hivi akili iko kweli huyu jamaa?
Kwa hali tuliyona taifa letu linayumba watu hawafanyi kazi,uadirifu hakuna nafasi za kazi tangu ngazi ya uwaziri in kujuana name urafiki,usimamizi mzuri na uchapa kazi kwa faida ya watanzania hakuna.
He kati ya Hawa nani anaweza kuyakomesha Haya ambayo ni Kero kwa watanzania?
1,JAJI RAMADHANI
2,MAGUFULI
3,LOWASA