Nani kayasikia haya ya TPDC? Hatari

Mimi nashindwa kuelewa kabisa haya mambo yanafanyika kwa nguvu ya nani? Wizi mtupu, kuanzia kwenye mabank sasa mpaka majeshini! Bado ikulu tu,
 
ZIMEIBIWA BILLIONS ZA EPA BENKI KUU SEMBUSE COMPUTER TPDC? WATU WASHAZOEA KUIBIWA!

On a more serious note, hizi habari umezipataje? Wewe ni mfanyakazi umeamua kuvujisha siri ya ofc au ulienda kama mgeni ukaiba habari? Tutasubiri vyombo vya usalama vithibitishe hilo. Taarifa za kiintelligensia hazitachelewa!

Sidhani kama hata ni kweli vyombo vya Usalama vita tangaza, ila mtoa maada ameiweka kama umbea kwa ajili ya kupotezea muda; maana anataka kusema kuwa database inatunzwa kwenye laptop moja tu! sidhani maana hao ni wataalam wanajua kuna ku-corrupt kwa computer na nk mara nyingi data utunzwa katika media tofautitofauti hata kumi.
 
Kama Pc ndo imeibiwa na data zote kwamba hazipo kwenye serva ni usanii mkubwa. Kama ukimweleza msomi atakushangaa sana. Hapa ni sawa hata tungeambiwa Virus wamekorupt HD ya sensitive computa kwa iyo data zimepotea. Ni usanii *182billion Dowans!
 
ZIMEIBIWA BILLIONS ZA EPA BENKI KUU SEMBUSE COMPUTER TPDC? WATU WASHAZOEA KUIBIWA!

On a more serious note, hizi habari umezipataje? Wewe ni mfanyakazi umeamua kuvujisha siri ya ofc au ulienda kama mgeni ukaiba habari? Tutasubiri vyombo vya usalama vithibitishe hilo. Taarifa za kiintelligensia hazitachelewa!

Nimependa hapo nilipo bold...!

Walai sijui kama kuna watu katika dunia hii walio zoea kuibiwa kama Watanzania...!
 
Mmmmmhhhhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Wanataka kuondoa data za siri ya URANIUM ya Tanzania na jinsi 'wataalam' wa Iran wanavyoyafyonzea taifa lao kuja kuangamiza nayo dunia ikiwemo Tanzania (Wakristo kwa Waislamu) sio??

Too late RA, JK and EL to erase such details!!!
 
Ndugu wana JF, Salaam. Leo mchana nikiwa pale Benjamin Mkapa tower,(mafuta house) zilipo ofc za TPDC zilifika taarifa kuwa kuna computer iliyokuwa ikitumia kama data base yenye info zote za machimbo/visima vya mafuta ,gas, imeibiwa katika ofc za zaman za shirika hilo Upanga. Hii ni hatari kwa nchi hasa ukizingatia kuwa watu/mafisadi wasioitakia mema nchi yetu wataanzia hapo kuendeleza hujuma. Pia ieleweke kuwa kuna taarifa za ndani ya shiriki za kiutafiti kuwa imegundulika hifadhi kubwa mno ya gas somewhere mwambao wa bahari. Pia ni hivi majuzi inasemekana kuna mzungu mmoja aliaibika baada ya MD kumwambia ile electronic pen aloiweka mezani kwake aiondoe.hii ilitokea ofcn kwa MD wa TPDC, alipotembelewa na huyu bwana. Hizi ni taarifa za uhakika za ndani. Nawasilisha
Tufike mahali tuwe na utaratibu wa kuwa na server zaidi ya moja na ziwe more than confidential
 
Wenzenu vitu muhimu kama hivyo vinafichwa kwene sefu na Rais tu ndio anakuwa na funguo combinations zisizopungua tatu, wanakuwa nazo watu wasiopungua 3..
 
Point, na hii ya ngeleja z more than a point, lakini kumbuka ngeleja+RA are friends, na RA ni iranian, is shia na sifa za mashia ni kupita mlango wa nyuma kw marafiki zao!we wamuonaje huyu mh.wa nishati?-Changanya na za kwako upate majibu.... gd 9t

Tafadhali tuombe msamaha hapa. Ngeleja si rafiki wa Rostam Aziz. Huyu bwana ni mfanyakazi wake RA wa miaka mingi sana kwenye lile jengo alilolinunua Mzee Mengi pale barabara ya Samora na Mkwepu kwa juu ghorofani.

Nijuavyo mimi, miongoni mwao wabunge wengi tu walionunuliwa nafasi hizo na RA na hatimaye kupangiwa wizara mbambali nyeti na huyu huyu GWIJI LA UFISADI Tanzania, Ngeleja ni mmoja wao tena mtumishi mwaminifu kwa maslahi ya huyu bwana.

Rostam Aziz hata nikisema nimsage kama unga bado madhara aliyoiletea taifa langu bado haitokua imerudi. Rostam!! RostaM!!!
 
Habari hizi ni tetesi 50% zinaweza kuwa kweli na 50% unaweza kuwa uongo ninavyojua mimi data huwa zinatunzwa na zaidi ya computer moja ukianza na server, pia kuna backup storage.Lakini ukitaka ufisadi si unafuta ushahidi.Haijarishi pana backup ngapi zote zinaweza kuhujumiwa.
 
Basi watu wa IT watakuwa shagalabagala kama hizo information hazipo kwenye SERVER yao maana shirika kubwa kama hilo hauwezi kusema kuwa eti PC imeibiwa yenye sensitive information halafu hauwezi kupata information utakuwa ni uzembe otherwise tunaweza kusema ni DILI linachezwa
ina maana hawana back-up?
 
ZIMEIBIWA BILLIONS ZA EPA BENKI KUU SEMBUSE COMPUTER TPDC? WATU WASHAZOEA KUIBIWA!

On a more serious note, hizi habari umezipataje? Wewe ni mfanyakazi umeamua kuvujisha siri ya ofc au ulienda kama mgeni ukaiba habari? Tutasubiri vyombo vya usalama vithibitishe hilo. Taarifa za kiintelligensia hazitachelewa!

Hivi mmesahau kuwa hata laptop ya JK imewahi kuibiwa?
 
ina maana hawana back-up?
Hivi hapa tunaongelea kupoteza data za utafiti wa nishati na madini au ni kuvuja kwa siri za utafiti wa nishati na madin? Kama ni data kupotea na hatunauwezo wa kuzirecover huo ni upuuzi tu lazima watu hawa wawajibshwe maana data ni asset ambayo thamani yake ni kubwa sana. Huu utakuwa ni ufisadi mwingine mkubwa ni bora mtu akuibie fedha kuliko information muhimu kama hizo . Kama issue ni kuvuja kwa siri ambazo hazikupashwa kujulikana basi pia hili ni hatari maana data hizi lazima zinatafutwa na mafisadi kwa ajili ya kuimaliza tz kama kawaida. Vyovyote vile itakavyokuwa bado ni hasara kubwa. Tubiri tuone matokeo yake tena!
 
Ndugu wana JF, Salaam. Leo mchana nikiwa pale Benjamin Mkapa tower,(mafuta house) zilipo ofc za TPDC zilifika taarifa kuwa kuna computer iliyokuwa ikitumia kama data base yenye info zote za machimbo/visima vya mafuta ,gas, imeibiwa katika ofc za zaman za shirika hilo Upanga. Hii ni hatari kwa nchi hasa ukizingatia kuwa watu/mafisadi wasioitakia mema nchi yetu wataanzia hapo kuendeleza hujuma. Pia ieleweke kuwa kuna taarifa za ndani ya shiriki za kiutafiti kuwa imegundulika hifadhi kubwa mno ya gas somewhere mwambao wa bahari. Pia ni hivi majuzi inasemekana kuna mzungu mmoja aliaibika baada ya MD kumwambia ile electronic pen aloiweka mezani kwake aiondoe.hii ilitokea ofcn kwa MD wa TPDC, alipotembelewa na huyu bwana. Hizi ni taarifa za uhakika za ndani. Nawasilisha
Ukwelikitugani, kwanza asante kwa hii info kutoka jikoni.
Kwa ukubwa wa TPDC pc haiwezi kuwa ndio sever wala sever haiibiki kihivyo.
Data muhimu kwa TPDC ni zile zihusuzo prospect za oil na gesi.
Kwa vile TPDC wenyewe hawawezi na hakuna hata kampuni moja ya prospective ambayo ni ya wazawa, inamaana hizo data zote zilizo potea ni secondary data. Primary data ambayo ndiko source bado zipo ni issue tuu ya retriving.

Na kuhusu large reserve ya gas ni kweli ila sio siri TPDC isijifanye ndio waliogundua, wagunduzi wamesha patent ugunduzi wao na nchi yao inasimamia kikamilifu haki miliki na watachimba wenyewe, watahifadhi wenyewe na watauza wenyewe ikiwemo na sisi kuuziwa!.
 
ina maana hawana back-up?

Cousin usije ukashangaa pale utakaposikia Shirika kubwa kama hili licha ya kutokuwa na back up lina server moja tu hapo ndio ujue kuwa IT organization ya hapo itakuwa ni CRAP tu
 
Wenzenu vitu muhimu kama hivyo vinafichwa kwene sefu na Rais tu ndio anakuwa na funguo combinations zisizopungua tatu, wanakuwa nazo watu wasiopungua 3..

Sisi unakuta information kama hizo tunazisave kwenye HARD DRIVE ya 2gb halafu mtu wa IT ndio anakuwa anatumia hiyo HD kwa mambo yake ya binafsi pia sema ndio hivyo viongozi wetu hata idea ya IT hawana kwahiyo wakipigwa changa la macho wanakubali tu
 
Ukwelikitugani, kwanza asante kwa hii info kutoka jikoni.
Kwa ukubwa wa TPDC pc haiwezi kuwa ndio sever wala sever haiibiki kihivyo.
Data muhimu kwa TPDC ni zile zihusuzo prospect za oil na gesi.
Kwa vile TPDC wenyewe hawawezi na hakuna hata kampuni moja ya prospective ambayo ni ya wazawa, inamaana hizo data zote zilizo potea ni secondary data. Primary data ambayo ndiko source bado zipo ni issue tuu ya retriving.

Na kuhusu large reserve ya gas ni kweli ila sio siri TPDC isijifanye ndio waliogundua, wagunduzi wamesha patent ugunduzi wao na nchi yao inasimamia kikamilifu haki miliki na watachimba wenyewe, watahifadhi wenyewe na watauza wenyewe ikiwemo na sisi kuuziwa!.

Nitaona huu ni upumbavu kama ndicho kinafanyika hapo TPDC
 
Nadhani kwa hali hii kikwete atakua ni moja ya marais walikutana na wakati mgumu madarakani kuliko hata nyerere aliyepigana vita ya uganda na tz.
Katika hizo tafiti za gas na visima vya mafuta tz imetumia bilions of money sasa kama data hua wanaweka kwenye saver moja without back up...itakua ni nchi ya ajabu sana hii.
Itakua tumeuzwa siku nyingi....Mi waziri ngeleja sina iman naye kabisa ...yupo yupo tu kama mama wa nyumbani vile!!

Ni kweli kabisa, huwez ukatunza data za umuhimu kiasi hichi kwenye server moja tu (bila ya kuwa na back up). Sitaki kuamini kwamba hawana back up ya kinachosemwa kimeibiwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom