Kana-Ka-Nsungu JF-Expert Member Oct 4, 2007 2,257 353 Nov 28, 2009 #1 Mhhhhhh...........tuendelee kadri inavyowezekana lakini chonde chonde wandugu, tusifike huku. Rate ya crime itaongezeka for sure!! Lol. Attachments Jail Austria.doc 701.5 KB · Views: 392
Mhhhhhh...........tuendelee kadri inavyowezekana lakini chonde chonde wandugu, tusifike huku. Rate ya crime itaongezeka for sure!! Lol.
Injinia JF-Expert Member Feb 26, 2008 849 26 Nov 28, 2009 #2 Duh, Mzee, hawa watu wana promote uhalifu? Mbona living environment nzuri namna hiyo? Manake hizo selo ni "rooms with a view"!! Ngoja nicheki crime rate ya Austria. Kwa kuuliza tu, yule babu Joseph-sijui - nani alomfungia mwanae ndani miaka na kuzaa nae ndipo alipo?
Duh, Mzee, hawa watu wana promote uhalifu? Mbona living environment nzuri namna hiyo? Manake hizo selo ni "rooms with a view"!! Ngoja nicheki crime rate ya Austria. Kwa kuuliza tu, yule babu Joseph-sijui - nani alomfungia mwanae ndani miaka na kuzaa nae ndipo alipo?
PakaJimmy JF-Expert Member Apr 29, 2009 16,203 8,724 Nov 28, 2009 #4 Kwangu hakifunguki kitu! Sijui kwavile sijazima cpu toka saa 12asbh!
PingPong JF-Expert Member Dec 21, 2008 926 160 Nov 28, 2009 #5 wekeni na picha za keko ndio tujue kama jela sio kubaya au la.... hizo za wenzetu huko sio kipimo kizuri
wekeni na picha za keko ndio tujue kama jela sio kubaya au la.... hizo za wenzetu huko sio kipimo kizuri
MwanaFalsafa1 JF-Expert Member Feb 26, 2008 5,565 836 Nov 29, 2009 #6 But one thing that those men lack is freedom. No matter how nice the environment is I still don't think it's worth losing your freedom.
But one thing that those men lack is freedom. No matter how nice the environment is I still don't think it's worth losing your freedom.
FirstLady1 JF-Expert Member Jul 29, 2009 16,792 5,374 Nov 30, 2009 #7 PakaJimmy said: Kwangu hakifunguki kitu! Sijui kwavile sijazima cpu toka saa 12asbh! Click to expand... tetete we PJ mkereketwa kweli
PakaJimmy said: Kwangu hakifunguki kitu! Sijui kwavile sijazima cpu toka saa 12asbh! Click to expand... tetete we PJ mkereketwa kweli
RayB JF-Expert Member Nov 27, 2009 2,751 196 Nov 30, 2009 #8 Duh hiyo kali kweli kweli manake sehemu zingine ni kama supermarket au au shopping malls