Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Njaa mbaya sana:israel::israel::israel::loco::loco:
Njaa mbaya sana:israel::israel::israel::loco::loco:
....Msomi unapokuwa na PRICETAG unakuwa hauna tofauti na wale akina dada wa Ohio.Jamaa aliahidiwa Shs 200,000,000 wakampa advance ya Shs 30,000,000 na mpaka sasa hiyo balance hajapewa. inasemekana ameanza kujuta kujiondoa Chadema na ana mpango wa kuomba msamaha ili arudi. Vile vile wateja wake wengi walimkimbia baada ya kugundua kuwa ananunulika kirahis, hivyo angeweza kuuza kesi zao, na hivyo amebakia kugonga mihuri ya mikataba
Njaa kali mh ilimgarimu,. Aludi kwa makamanda aneza pata hata kiyongoji uchaguzi ujao wa serikari za mitaa