Nani Kamdanganya Rais wetu?

Nakuunga mkono sana. Uongozi (Leadership) si kitu kidogo. JK anaongea kama kiongozi wa nchi hivyo anapashwa kuwa makini sana. Umakini huja tu kama utajali unaowaongoza lakini kwa viongozi wengi Afrika ukweli ni kuwa hawana kuwajibika kwa wananchi hivyo hawajali kabisa kama wanaogea nini au kama wanaweza kuwakwaza wengine. Hata kama watakosea ni aghalabu kuomba radhi.

Kuhusu kama JK anawasikiliza washauri au la si muhimu sana uki-refer usemi JK wakati ana-address swala la wafanyakazi kuwa na akili kama za mbayuwayu. Hivyo kama anashauriwa na achanganyi na akili zake hilo ni tatizo. TZ tunazo changamoto kweli kweli.
 
kama slaa anavyoanguka bafuni kwa kupiga puchu

So Perfect ( Mr, Mrs or Miss) naomba uelewe mada yangu, swala si U-slaa wala u-JK, nimeleta mada hii kwa kufuata cheo cha mtu na niliomba tangu mwanzoni tusichanganye na maswala ya kisiasa, najua huu ndo ugonjwa wetu wengi wa kufanya kila kitu ni siasa, hivi unadhani kwamba, wenzetu wenye viongozi "kamili" wanatuchukuliaje tunapotoa matamshi kama yale?? Only that, na sio swala la wagombea urais. Soma mwanzoni kama mwa thread hii, niliomba tusichanganye jambo hili na siasa.

Hope umenielewa, asante kwa kunielewa
 
Washauli wake ndo nawalaumu kwa Nguvu zoote!!!


SAFI huajkosea hata kidogo yaaani wamejazana pale IKULU sijui wameenda fanya pango la walanguzi khaaaaaa,

Pale IKULU kunatakiwa vichwa vimetulia na vinaangali future ya TANZANIA in 30yrs to come na sio kila baaada ya mwaka na isitoshe hata kuangalia next yr kwao bado ni tatizo kubwa tuuu, kwani hawana Tathimini za kila mwaka au kila miaka 5 ya uchaguzi umalizikapo, ila wakiambiwa watoa tathimini na REDET khaaa faster faster utaona
 
So Perfect ( Mr, Mrs or Miss) naomba uelewe mada yangu, swala si U-slaa wala u-JK, nimeleta mada hii kwa kufuata cheo cha mtu na niliomba tangu mwanzoni tusichanganye na maswala ya kisiasa, najua huu ndo ugonjwa wetu wengi wa kufanya kila kitu ni siasa, hivi unadhani kwamba, wenzetu wenye viongozi "kamili" wanatuchukuliaje tunapotoa matamshi kama yale?? Only that, na sio swala la wagombea urais. Soma mwanzoni kama mwa thread hii, niliomba tusichanganye jambo hili na siasa.

Hope umenielewa, asante kwa kunielewa

Lakini si umeweka thread yako kwenye Jukwaa la Siasa?
 
Kikwete mtu ovyo kabisa, si ndiye yeye huyu aliyesema wanafunzi wanaopata mimba wana kiherehere? Na hajui chanzo cha umasikini wetu?

Bogus kabisa.
 
huyo ndiyo kikwete bana!.............anakwambia watoto wanaopata mimba ni kwa sababu ya kiherehere chao (rais wa nchi anatamka mamneno km muhuni fulani wa vijiwe vya kahawa)
 
Huyu jamaa hana maana kabisa, kila siku anatoa kauli zenye utata sijui kalogwa au ndio stress za kampeni.
 
Nilisikia kutoka kwa jamaa mmoja aliyewahi kuwa usalama wa Taifa na sasa anafanya ubalozi wetu nchi moja ya Magharibi kuwa huyu jamaa naye ana ugonjwa wa Juliana. Mnakumbuka huo ugonjwa jamani miaka ya 1980's kutokea nchi jirani ya Uganda ambako ulikuwa umeshamiri. Siku hizi wanauita Ugonjwa wa Kunogewa Ikiwa Mwili Wasisimka Iingiapo. Sina hakika kama nao ni ugonjwa wa kujitakia.

Haya aliyoongea huyu jamaa yanaweza yakawa na ukweli kwani ni yeye ndiyo anatoa ulinzi akishirikiana na vyombo vya usalama kwenye nchi hiyo iwapo kiongozi wa juu (Taifa) au wake wa viongozi wa juu wanapotembelea taifa hilo. Aliwahi kuongelea jamaa kubadilisha damu mara kadhaa. Sasa sielewi huo ugonjwa una uhusiano gani na kubadilisha damu.
Wenye ufahamu wa ubadilishaji damu tupeni mwanga.
 
Na yeye anavyoangukaanguka amejitakia au ni ugonjwa?

Mnajua mojawapo ya dalili ya hili gonjwa ni kuchanganyikiwa, hivyo mimi sishangai, ninachoshauri ni kwamba taifa lijiandae na msiba mwingine.
 
Si ndiyo akina mwakyusa hao wanamdanganya kila siku,, hata mimi nilisikia jana akiwa kigoma anafunga mbio za mwenge...

ila cha kufanya ni kutoa serekali yake then tuweke watu makini....
 
jamani, tuacheni siasa, kwani haya matamshi ya kiranja mkuu kila siku kuhusu huu ugonjwa mi siyapendi hata kidogo

Gonga hapa usome kisha mfowadie kiranja mkuu
http://www.beholders.org/spirit/inspirationalpeople/110-nkosijohson.html

I hate having AIDS because I get very sick and I get very sad when I think of all the other children and babies that are sick with AIDS. This is the speech delivered by Nkosi Johnson, 11 years old, made for the opening ceremony of the 13th International AIDS Conference in Durban:

Hivi huyu Kiranja Mkuu anasoma au anasikiliza habari kama hizi. I doubt!!! Je, vijana hawa walijitakia?? shame on him!!
 
Safi mno, nimenogewa na comment zenu, lengo si kumnyooshea kidole lengo ni kwamba hizi statement zake zinahitaji kupitishwa TBS kabla ya kutumika. Kama Nkosi (11yrs) alisema maneno mazito kama yale, je inakuwaje kwa kiranja wetu kushindwa ku-think outside ze box? na kama wanajitakia basi hakukua na sababu yoyote ya kuanzisha kampeni ile ya upimaji wa hiari ambayo na yeye alishiriki! au ndo tuseme yeye ni mtumwa wa wazungu? kaseme hili au kafanye vile kwenye nchi yako? MUNGU wasamehe
 
Nkosi said;

"Care for us and accept us- we are all human beings.
We are normal. We have hands. We have feet. We can walk, we can talk, we have needs just like everyone else- don't be afraid of us- we are all the same!"
 
Back
Top Bottom