Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,443
Hakuna "Kama Baba_Enock" And the little ones (my daughter & son) knows that!
Hahaha mkuu PM zitaanza maana wanapenda sana wababa wanaopenda familia zao. LolSijaoa bana. Ila natafuta mke....lol.
Najua sana maana ya kulea kwa sababu nafanya hivyo kila siku.
Wote ni walezi wa familia lakini ilionekana ivo sababu mama ndiye aliyekuwa karibu na watoto, sikuzote na baba alikuwa mtafutaji chochote kihusucho familia na malezi ya watoto mama ndiye aliyehusika sana na ndio maana hata mtoto alipoharibika mama ndiye aliyelumiwa bila kujali alipitia mangapi.
baba alikuwa wa kuhakikisha chakula kipo,ada na mahitaji mengine na hata akipotea wiki nzima yeye anachojua aikute familia inaendelea vizuri na kwa baadhi majukumu yalikuwa tofauti wote watafutaji na bado mama alihitajika kuwa karibu ili watoto wakue katika misingi ipasayo.
Lakini siku izi maisha yamebadilika na huu msemo nguvu yake unaelekea kwisha imebaki mazoea tu ya maneno tuliyozoea kusema.
hehehe msiskie bana! hakuna kama nyumba ndogo. Baba na Mama ni chamtoto tu.
now days utandawazi umewasaidia kina baba kujitambua na kugundua kuwa nao wana umuhimu kwenye malezi ya watoto waoWote ni walezi wa familia lakini ilionekana ivo sababu mama ndiye aliyekuwa karibu na watoto, sikuzote na baba alikuwa mtafutaji chochote kihusucho familia na malezi ya watoto mama ndiye aliyehusika sana na ndio maana hata mtoto alipoharibika mama ndiye aliyelumiwa bila kujali alipitia mangapi.
baba alikuwa wa kuhakikisha chakula kipo,ada na mahitaji mengine na hata akipotea wiki nzima yeye anachojua aikute familia inaendelea vizuri na kwa baadhi majukumu yalikuwa tofauti wote watafutaji na bado mama alihitajika kuwa karibu ili watoto wakue katika misingi ipasayo.
Lakini siku izi maisha yamebadilika na huu msemo nguvu yake unaelekea kwisha imebaki mazoea tu ya maneno tuliyozoea kusema.
Hapo sasa umeongea la msingi. Uwe na wikendi njema.
mimi wazazi wangu wote ni mashujaa wangu na nawapenda wote sawa sawa kwani walishiriki kikamilifu katika malezi yangu tangu nikiwa sina akili mpaka pale nilipopata akili ya kutambua juhudi za wazazi wangu katika malezi. Nilizithamini sana juhudi zao kubwa za malezi ili kuhakikisha kwamba nakuwa raia mwema na pia very productive katika jamii ya walimwengu. Sasa nimekuwa mtu mzima nikikumbukua miaka ya nyuma zile juhudi zao kubwa za kila siku iendayo kwa mungu sina cha kusema zaidi ya kuwapa shukrani zangu nyingi sana. Kwani mafanikio yangu yote kimaisha yasingewezekana bila juhudi zao kubwa sana. Kwa hiyo kwangu mimi naomba tu niseme nani kama wazazi!
Sasa kumbe ndo mana umejitwisha majukum ya mama, afu unajidai hapa, ungekuwa na huyo mama mtoto ndo ungeamini hakuna kama mama!Sijaoa bana. Ila natafuta mke....lol.