Na pia tuna watoto wa kimatumbi waliojibadili nywele kwa laki nane unusu tu... mtoto kachapa powerpoint ya kibrazil
http://2.bp.blogspot.com/_HO8ijU76ZcQ/TKBErDPfhhI/AAAAAAABQDc/NhFt3yrtOkg/s1600/001.jp_1.jpg
Eeeehh bwana wee, Mzungu mweusi. Utafikiri Mhaya vile (Wahaya samanani)... hihihiiiiii
Hawajui nguo za Shamba zikoje jamani? Kasheshe kwelikweli hapa Tanzania......
kwa hiyo unataka kutuambia kuwa marais waliopita walileta maendeleo ila JK ndio imeyaondoa au? Tatizo hapa ni kuwa kauli mbio ya mh. Jk ya maisha bora kwa kila mtanzania ilieleweka vibaya. watu walidhani watamiminiwa mipesa na vyakula mdomoni kama makinda ya ndege bila kufanya kazi. Ndio maana akabadili kauli mbio kuwa nguvu zaidi, kasi zaidi na ari zaidi (yaani watu wafanye kazi kwa nguvu zaidi, kasi zaidi na ari zaidi).
Eeeehh bwana wee, Mzungu mweusi. Utafikiri Mhaya vile (Wahaya samanani)... hihihiiiiii
Hawajui nguo za Shamba zikoje jamani? Kasheshe kwelikweli hapa Tanzania......
Hili swali siku zote linanisumbua kichwa yangu kwa kweli!kila siku najiuliza "hivi wanaoishabikia ccm ni watanzania kweli"?