RasJah
JF-Expert Member
- Nov 5, 2009
- 703
- 64
Ningependa kutoa ushauri kwa Pres. Jk kuwa ni bora awe anafuata mifano iliyohai mfano watoto wa JK Nyerere hawakuwa kimbelele ktk majukwaa ya siasa kwani ni hatari kwa nchi iwapo kutatokea na uhai fulani na hata watoto mkapa naye pia aliweza ku-play low juu ya watoto huo ndiyo uongozi bora mkuu wetu!