Hahahaha..... sala yake itakuwa sawa na kuombea marehemu siyo? LOLDaah! Mimi nimeshaomba msamaha kwa Mungu mida naamka then jioni tena nitaomba, so usijipe taabu ya kuanza kupiga magoti kuniombea.
Hapo nilitumia magic powder kunyoa ndevu ndio maana unaona kipara
kweli aisee...ngoja niendelee zangu kula majani :bange:Sikilizia na ukae kimya wala usiulize maana ukiuliza sana utapata matatizo bure
Hata mimi nakushauri kitu hicho. Bakia single
Fello tablet ameathirika na migomo ya madaktari. Tangu alipokoswa kuchomwa moto akidhaniwa kibaka kumbe alikuwa akipiga chabo kwenye chumba cha kongosho bado hajapatiwa tiba..... Kongosho angeniulia fellow tablet na ngozo zake za mchana! khaa!Umemkimbizia wapi? au ndio mbinu yako ya kutaka kumiliki vidosho wote wa humu ndani peke yako?
Swaga za kizee hizo jaribu kuangalia videvu vya vijana wenzio
Kumbe ndo maana ulibandika picha yako...
duh!
Valentine ndio hiyoooo inakaribia lakini mpaka sasa sijajua nitatoka na nani. Mpenzi wangu wangu ambaye nilitegemea ndio nitatoka naye tumeshaachana kwa sababu yeye alinitenda. Sio siri wana JF tokea nizaliwe mpaka sasa na midevu yote hii sijawahi kusherehekea sikukuu ya Valentine's Day na wala sijui utamu wake. Natamani nimpate my valentine ambaye atanifundisha na kunionyesha nini maana ya valentine's Day. Will you be my valentine?
Kwani mimi nimesema natafuta mpenzi? Mimi natafuta mtu wa kutoka naye siku ya valentine na wala sio mpenzi
Kumbe ndo maana ulibandika picha yako...
duh!
Fello tablet ameathirika na migomo ya madaktari. Tangu alipokoswa kuchomwa moto akidhaniwa kibaka kumbe alikuwa akipiga chabo kwenye chumba cha kongosho bado hajapatiwa tiba..... Kongosho angeniulia fellow tablet na ngozo zake za mchana! khaa!
Dogo bado hujaenda shule ?
Atakukaba huyo kuwa nae makini ni mkabaji mzoefu usibebe simu wala wallet tafadhaliyaani kila nikiona mwandiko wako najisikia kutoka na wewe siku ya Valentino........sijui utakubaliii.....?
Na kwa akili zako kama za Blandina Nyoni unategemea ntakataa? Mi naona tutoke siku mbili kabla!yaani kila nikiona mwandiko wako najisikia kutoka na wewe siku ya Valentino........sijui utakubaliii.....?
Wee nimekuachia Golden Mpoleee..... hawa wakongwe niachie mimi bana, khaa!Atakukaba huyo kuwa nae makini ni mkabaji mzoefu usibebe simu wala wallet tafadhali
Na kwa akili zako kama za Blandina Nyoni unategemea ntakataa? Mi naona tutoke siku mbili kabla!
Huyu si anataka watu wenye GX 100...mimi nina Semi Trailer..Wee nimekuachia Golden Mpoleee..... hawa wakongwe niachie mimi bana, khaa!
yaani kila nikiona mwandiko wako najisikia kutoka na wewe siku ya Valentino........sijui utakubaliii.....?
Na kwa akili zako kama za Blandina Nyoni unategemea ntakataa? Mi naona tutoke siku mbili kabla!
:hatari::hatari::hatari::hatari:umeona lililo jema hasa.......kabla siku mbili na tunaongeza siku mbili mbele baada ya valentina........
:hatari::hatari::hatari::hatari: