hKichaka
Senior Member
- Apr 23, 2011
- 199
- 19
Mimi nina swali wana JF hivi jamani mi najua kabisa umuhimu wa kula chakula cha jioni na hata usiku lakini swali langu je nani anayenufaika zaidi?kwa kuwa mmoja anaandaa wanapika wote lakini mmoja anatapika mwingine anakula hata matapihi ya mwenzake naombeni jibu.