Nani anaweza nifundisha php na java jamani ningependa kujua hii kitu via kitaa

Muazisha thread naona anataka kufanya mult tasking kama si muti threading tena amabzo ziko tofauti kabisa . kama nilivyotoa ushauri kule juu mamb yatakuwa magumu kwa style hii inaonekana una mambo mengi kichwani. Hujaamua unataka kufanya nini?

elmagnifico said:
.......Jamani mimi napenda sana mziki na nina ndoto za kuwa producer. Nimeanza nza tumia fl studio toka niko form3 mpaka saqsa niko chuo mwaka wa 3, lakini sijui kupga piano tan keyboard ile ya ukweli zaidi ya fl piano roll, pia sijui anything about mixing and vocaling jambo ambalo linafanya beat zangu ukizipeleka kwenye music system nyingine znakuwa kapuka.jamani kama kuna mtu anajua mambo hizo naomba msaada wake hata kama atataka malipo kidogo naweza toa lakini si ela nyingi maana mimi m,wenyewe choka mbaya kama watanzania walioo wengi source https://www.jamiiforums.com/tech-ga...oard-ya-music-an-vocal-mi-xing-anisaidie.html
 
Muazisha thread naona anataka kufanya mult tasking kama si muti threading tena amabzo ziko tofauti kabisa .
inawezekana!
Mi nilijifunza zaidi ya hivi ila kunatakiwa uvumilivu mkubwa na sacrificial dedication. Wakati mwingine unauza hata usingizi...possible but then there is cost to pay!
 
Hosanah how much waweza ncharge
Inategemeana na level unayotaka kufika, mode ya kufundishwa (Face to face or distant), na amout of practical et al. Kwa kuwa Muda wangu na expertise ndio unalipia inategemeana na muda unaohitaji na ujuzi!
 
Nahtaj level ya kuweza kutengeneza hata website kama hii n unifundshe face to face
 
Nitumie email yako nikutumie ebooks za C++, C#, C & Java Programming E-Books, CSS, XHTML & JavaScript na Dictionary of Computer Terms na kama utapenda pia si vibaya ukiwa na vitabu vya FLASH Books

email yangu ni jjosy2000@gmail.com
 
Kaka nimekutumia email via your email kaka
Nitumie email yako nikutumie ebooks za <b>C++</b>, <b>C#</b>,<b> C</b> &amp; <b>Java Programming</b> E-Books, <b>CSS</b>, <b>XHTML</b> <b>&amp;</b> <b>JavaScript</b> na <b>Dictionary of Computer Terms</b> na kama utapenda pia si vibaya ukiwa na vitabu vya <b>FLASH Books</b><br />
<br />
email yangu ni <b><a href="mailto:jjosy2000@gmail.com">jjosy2000@gmail.com</a></b>
<br />
<br />
 
Nahtaj level ya kuweza kutengeneza hata website kama hii n unifundshe face to face
labda nikutie moyo kuwa itachukua muda sana kutengeneza board kama hii, lakini inwezekana. Pia level hii ni advanced sana. Ina maana itabidi ujifunze:
Intro.
Markup - HTML na XML
Styling with CSS
CLient Side Scripting: Javascript na JS Libraries
Server Side Scripting - inategemeana but likely utapenda PHP

intermediate:
Advanced JS concepts
Advanced PHP concept
Interactive Techniques like Ajax
SQL language
building simple database driven web

advanced concepts
Intro to design patterns - singleton, MVC, Observer patterns et al
OOP with PHP
Advanced SQL queries
Web security Concepts
programming practical DB driven website

case study
writing content management system with blog and message board

sasa ukiangalia hii ni kozi itakayochukua muda kujifunza. Ndio maana nina mashaka kama utaweza kulipia muda na expertise kutosha kujifunza haya yote. Plus sijaweka kila kitu ambacho utajifunza.
 
Ss taratbu taratbu Kaka ,mwanzo mgumu bt am sure I can napenda sana kaka
labda nikutie moyo kuwa itachukua muda sana kutengeneza board kama hii, lakini inwezekana. Pia level hii ni advanced sana. Ina maana itabidi ujifunze:<br />
Intro.<br />
Markup - HTML na XML<br />
Styling with CSS<br />
CLient Side Scripting: Javascript na JS Libraries <br />
Server Side Scripting - inategemeana but likely utapenda PHP<br />
<br />
intermediate:<br />
Advanced JS concepts <br />
Advanced PHP concept<br />
Interactive Techniques like Ajax<br />
SQL language<br />
building simple database driven web<br />
<br />
advanced concepts<br />
Intro to design patterns - singleton, MVC, Observer patterns et al<br />
OOP with PHP<br />
Advanced SQL queries<br />
Web security Concepts<br />
programming practical DB driven website<br />
<br />
case study<br />
writing content management system with blog and message board<br />
<br />
sasa ukiangalia hii ni kozi itakayochukua muda kujifunza. Ndio maana nina mashaka kama utaweza kulipia muda na expertise kutosha kujifunza haya yote. Plus sijaweka kila kitu ambacho utajifunza.
<br />
<br />
 
Kama unataka utengeneza website kama hii from scratch (kwa kucode mwenyewe) itakuchukua muda sana, ila hamna mtu anayefanya kitu kama hicho, labda kwa ajili ya kujifunza tu.
Website hii inatumia software ambayo unaweza kuinunua, na haitachukua zaidi ya a masaa kuiinstal kwenye server na kuirun, ila hapo utakuwa haufanyi programming yoyote utakuwa una configure tu.
 
So ina maana hata mmilik wa jf kanunua hyo.sftware. na znapatkana wapi n hw much.
Lakin stl nataka jfunza
 
Kaka nimekutumia email via your email kaka
Nimekutumia mkuu, kazi kwako sasa, ila usiwe na haraka ndugu yangu hivi vitu vinataka muda na wakati mwingi wa kujifunza... polepole ndio mwendo, utajuwa tu ndugu yangu.... Nakutakia kila la kheri.
 
Tnx sana xpaster am real gretful, ntaanza taratibu taratibu hope I will make kaka tnx alot
 
Nimekutumia mkuu, kazi kwako sasa, ila usiwe na haraka ndugu yangu hivi vitu vinataka muda na wakati mwingi wa kujifunza... polepole ndio mwendo, utajuwa tu ndugu yangu.... Nakutakia kila la kheri.
<br />
<br />
. Ungekuwa umetusaidia wengi kama ungevimwaga vitabu hivyo hivyo hapa jamvini kama alivyofanya Mtazamaji, kuliko kumtumia mleta thread pekee. Kumbuka wana jf wengi tuna ndoto ya kuwa maprograma lakini hatujui wapi pa kupata vitabu vya kuanzia kusoma.
Tusaidie! Mungu ndiye mlipaji mzuri.
 
Hii software iliyotumiwa na JF inaitwa VBulletin inauzwa na kampuni ya Jelsoft kama sijakosea. Kwa maelezo zaidi google VBulletin
 
Lakini kama lengo ni kuset up forum then tumia free board kama PHPBB au SMF
 
Lakini kama lengo ni kuset up forum then tumia free board kama PHPBB au SMF
<br />
<br />
Nimechek hyo phpbb na smf nimedwnload smf sa how do I edit it na nisha edit how to I upload it coz mm natumia freewebs.com as my webhoster
 
use wamp to do all stuffs and then export database from localhost to host, lastly upload files using ftp/scp or whatever means
enjoy
 
Back
Top Bottom