mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,236
- 954
Tujifunze lugha yetu. Kitabu cha NneHiki sidhani kama kilikuwa ni kitabu bali ilikuwa topic kwenye main book ambacho sikumbuki jina lake.
Tiba
Tujifunze lugha yetu. Kitabu cha NneHiki sidhani kama kilikuwa ni kitabu bali ilikuwa topic kwenye main book ambacho sikumbuki jina lake.
Tiba
I wrote a letter to my darling, but she didn't answer me*2 I don't know what is the matter matter*2 Who is knocking the door,sister knocking the door*2 Brother knocking the door always*2
Mhh! Nilikuwa la kwanza miaka hiyo.
ID ya mtu hyo
kabanga ampiga mkoloni
Bro nipo nafurahi Vijana wanapo nikumbuka, unajua enzi zetu JF ikiwa Jf kwelikweli ilikuwa unachagua ID kutokana uhusika wako na fikra zako na hakika ID ya mtu iliakisi frikra za mtu, so wakati najiunga na JF ilikuw akipindi cha mapambano ya ufisadi so nikaona huyo Mkoloni mweusi hana tofauti na mkoloni aliyepita so nikaamua kujiita Kibanga Ampiga mkoloni kwa maana ya kupiga MACC.
Sikiri mimi masikini
Duu, umenikumbusha mbali sana, vitbu vya Safari ya Bulicheka na mkewe Lizabeta ninavyo copy mojamoja. Nenda Case store bookshop Arusha vinapatikana !!Wadau naomba wapi nitapata vitabu vya hadithi za zamani kama za kina Bulicheka, Panga la shaba, Abunuwasi, Mandawa na Manenge.
==========
KataviSiku ya gulio Katerero