MCHUMIPESA
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 2,088
- 257
Hivi nafasi wanazozitangaza zinawasaidia vipi vijana ktk kujikwamua kimaisha?.Je kuna ukweli wowote?.Naomba kwa yule yeyote anayefanya kazi kwenye hili shirika tena kwenye kazi nje nje atujuze.Asanteni karibuni