mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
- Thread starter
- #41
Dharau ipo kwa kiasi kikubwa tena sana tu. Tusijifariji kwa kusema eti hakuna dharau. Ukishakubali dharau ipo kwetu sisi kwa sisi itakosa kwa different races? Nani alifanya kazi na Muindi kwenye kampuni ya Muindi hata kama ana elimu na utendaji mzuri kuliko muindi, mzungu au Mwarabu wakalipwa sawa?
Namba moja kwa dharau na ubaguzi ni Mhindi, namba mbili mwarabu na wa mwisho mzungu. Mzungu ni rahisi sana kumwelewa watu wengine hata kama wako tofauti kirangi. Mzungu ukifanya nae kazi atakuthamini na kuthamini mchango wako hata kama htalingana naye lakini hutaisi kunyanyasika. Mhindi na Mwarabu ni watu wabaya kweli na Mungu tu anajua kwanini aliwaweka duniani ilitakiwa wawe na sayari yao ambako huko watu wanadharauliana na ukiwa na pesa watu wote waweza tukana bila matatizo.
Mimi nafanya kazi wazungu ukweli hawa watu hawana dharau ila inategemea mtu mmo1 mmo1 pia. Wao watakubagua kulingana na unavojibagua mwenyewe. Ukijichanganya watakupa ushirikiano wote na kuwa one of their friends. Mwarabu uswahili unamfanya ajichanganye na watu lakin pia kumbuka wengi wao wako na hali ya chini kama waafrika wengi hivo inafunika ubaguzi wao kwa watu wengine. Mzungu ni binadamu mwarabu ni mtu, Mhindi ni mnyama tena fisi lisilojua binadamU
Mkuu umeongea vizuri sana ni kweli mswahili hawezi fanyakazi na muhindi kwenye office au kampuni ya wahindi alafu mulipwe
mshahara sawa! lazima muhindi mwenzao wamlipe pesa zaidi kuliko mswahili. Ila hapo kwa mzungu napingana na wewe. Wazungu
kama wajerumani,makaburu,waitaliano,waamerica na wagiriki nk. ni roho mbaya kwa kwenda mbele! wakiwa hapa nchini kwetu wananye
nyekea sana wazawa'sasa jaribu kwenda kwao cha moto utakiona! hawakuthamini hata chembe