mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Tuache unafiki na ubishi wa kujifurahisha nafsi wa funika kombe mwanaharamu
apite. Ukweli ni kwamba bara la Africa limevamiwa na wageni wengi kutoka nje.
wengi wa wageni hao ni Wazungu,wahindi na waarabu. Kwa hapa Tanzania ime
fikia wengine kupata uraia bubu ilimradi mambo yao yaende,na wengine wamepata
uraia kwa kuzaliwa hapahapa. Lakini kiukweli ukiwachunguza kwa makini hawa watu
utagundua kuwa wengi wao kama si wote wanawazarau watanzania usipime!
Yaani kwao mtu mweusi (mwafrica) si chochote si lolote.
Ndiyo maana nauliza kati ya Mzungu,muhindi,na mwarabu ni nani anazarau sana
waafrica? - Nakaribisha mgongano wa kimawazo na kimtazamo. Ahsanteni.
apite. Ukweli ni kwamba bara la Africa limevamiwa na wageni wengi kutoka nje.
wengi wa wageni hao ni Wazungu,wahindi na waarabu. Kwa hapa Tanzania ime
fikia wengine kupata uraia bubu ilimradi mambo yao yaende,na wengine wamepata
uraia kwa kuzaliwa hapahapa. Lakini kiukweli ukiwachunguza kwa makini hawa watu
utagundua kuwa wengi wao kama si wote wanawazarau watanzania usipime!
Yaani kwao mtu mweusi (mwafrica) si chochote si lolote.
Ndiyo maana nauliza kati ya Mzungu,muhindi,na mwarabu ni nani anazarau sana
waafrica? - Nakaribisha mgongano wa kimawazo na kimtazamo. Ahsanteni.