Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 831
Sasa Mkuu chrispin umemstukia nani huyo IP au nani? Si umeona hapo post yake ndo ya kwanza baada ya kuambiwa na mumewe asome maoni ya wadau ndo akamua kujiunga atoe na yeye upande wa shilingi? au hujamuelewa?Aaa wapi, unatuchezea akili weye. Hiyo si ndio post ya kwanza ya IP? Hahahaha1 Timekustukia.