Wapendwa,
Ni sisi wale wa miaka 47 kama wanavyotuita. Nina miaka 10 na watoto mchakato! tatizo ni kuwa tulioana tukiwa pale na sasa tuko hapa. Nimepitia maisha ya aina mbalimbali nchi mbalimbali magharibi na mashariki. Mwisho nimefika mahali ambapo ninaheshimika. Nimejaribu pia mke wangu abadili mtazamo wake kwa maisha ya leo. Bahati mbaya hataki kubadili mtazamo wako. Leo ninapenda mke wangu awe classic kama akina Michelle. Natamani awe na confidence katika kila anachokifanya. Akitembea asijihisi na kutembea kama mama wa kijijini! Akiongea asiwe anajishuku shuku. Akiwa na rafiki zetu asiwe na mkao wa mwambao! mnanielewa. Hivyo nimeongea sana hili. Lakini amenihakikishia kuwa hawezi kujitesa na kuwa kama Michelle Obama. Atakuwa Habiba kama zamani. Mavazi je mke wangu, vipi huoni suruali kama inakuweka uwe na uhuru hasa tukiwa kwenye viwanja hivi.
maongezi yetu ya mwisho yalikuwa hivi:
MKE: Mbona Mr X hakupiga picha na mke wake wakati kila moja ana mke wake?
MIMI: Nadhani mke wake asingeweza kuingia katika jumuiko hilo maana nadhani lugha na class yake iko chini.
MKE: Sasa kwa nini alimuona kama si wa class yake?
MIMI: Alimuoa miaka 13 iliyopita wakati wakiwa katika class inayoendana. lakini sasa mme ni mtu wa watu na ngazi ya juu.
MKE: Huko ni kutojiamini tu.
MIMI: Asiyejiamini ni mume au mke?
MKE: Mimi siwezi kuteseka na kuwa kama mtu mwingine nitakuwa kama mimi milele.
MIMI: Yeah! mabadiliko ni gharama, itabidi ukubali kuwa hivyo hivyo milele.
WOTE: Kimya.
Leo ni siku ya tano hatujarejea katika maongezi hayo. Nimeona niiweka hapa ili wenzetu mtusaidie nani abadilike? Mimi au mke wangu?
Ni sisi wale wa miaka 47 kama wanavyotuita. Nina miaka 10 na watoto mchakato! tatizo ni kuwa tulioana tukiwa pale na sasa tuko hapa. Nimepitia maisha ya aina mbalimbali nchi mbalimbali magharibi na mashariki. Mwisho nimefika mahali ambapo ninaheshimika. Nimejaribu pia mke wangu abadili mtazamo wake kwa maisha ya leo. Bahati mbaya hataki kubadili mtazamo wako. Leo ninapenda mke wangu awe classic kama akina Michelle. Natamani awe na confidence katika kila anachokifanya. Akitembea asijihisi na kutembea kama mama wa kijijini! Akiongea asiwe anajishuku shuku. Akiwa na rafiki zetu asiwe na mkao wa mwambao! mnanielewa. Hivyo nimeongea sana hili. Lakini amenihakikishia kuwa hawezi kujitesa na kuwa kama Michelle Obama. Atakuwa Habiba kama zamani. Mavazi je mke wangu, vipi huoni suruali kama inakuweka uwe na uhuru hasa tukiwa kwenye viwanja hivi.
maongezi yetu ya mwisho yalikuwa hivi:
MKE: Mbona Mr X hakupiga picha na mke wake wakati kila moja ana mke wake?
MIMI: Nadhani mke wake asingeweza kuingia katika jumuiko hilo maana nadhani lugha na class yake iko chini.
MKE: Sasa kwa nini alimuona kama si wa class yake?
MIMI: Alimuoa miaka 13 iliyopita wakati wakiwa katika class inayoendana. lakini sasa mme ni mtu wa watu na ngazi ya juu.
MKE: Huko ni kutojiamini tu.
MIMI: Asiyejiamini ni mume au mke?
MKE: Mimi siwezi kuteseka na kuwa kama mtu mwingine nitakuwa kama mimi milele.
MIMI: Yeah! mabadiliko ni gharama, itabidi ukubali kuwa hivyo hivyo milele.
WOTE: Kimya.
Leo ni siku ya tano hatujarejea katika maongezi hayo. Nimeona niiweka hapa ili wenzetu mtusaidie nani abadilike? Mimi au mke wangu?